Mimi sijawa kwenye relationship for long (years) sina hamu kali ya kuwa na demu then niwe nae nisiwe nae kwangu poa tu shida inakuja pale best friend wanatamba na madem ila mm nasema one day yes nitakuwa tajiri
Kukaziq tu kama unapiga nyeto bao moja ombq msaada hayo ni matumizi mabaya ya rasilimali mkono na nikinyume cha sheria namba 304 ya mwaka 1500000B.C ya upigaji nyeto
Wanavyo kaza fuvu sasa mait wa bongo zero,sifuri maneno kibao, wakati wanawachagulia watoto wako course za it hawajui huu ni wito kama vile uchungaji au udocta ukija kusoma ilimradi mjomba kaniambia it inapesa ndio hao wanatuharibia sifa
Mshamba huwezi kuelewa hapo ulipo ukiambiwa define internet hujui
INSHORT UNAWEZA TENGENEZA NETWORK ILI UPATAE INTERNET LAZIMA UCONNECT NA GLOBAL INTERCONNECTED COMPUTER NETWORKS (INTERNET) SASA HAPO UNAITENGENEZAJE?
KAA KIMYA SIKU NYINGINE
Wadau nilinunua hii simu kwa mtu ambaye aliuziwa na mtu na yeye alisema usiirestore itajifunga
Mimi mbishi nikatumia itunes nika iupdate kisha nikairestore hapo ndo kasheshe simu ikajifunga
Nikafanikiwa kuibypass ila shida network haisomi na pia ukiizima ikiwaka inalock tena
Wadau mwenye...
Kwanini yani mimi ndio scamma au kama mtu anayo akaunti ananipa namba mimi naweka then ikiingia kazi inabake kwake kunitumia locally sababu siwezi kufanya hivyo ni verification sina vitambulisho na bank statements baadhi ya watu wanavyo na wamefungua
Habari nina pesa mahali na njia pekee ya kutoa ni paxum au webmoney WMZ je nitapokeaje kama naweza kupata hizi account then direct to my m-pesq with no verification or someone can help me to withdraw i have $70 i need it to pay some stuffs
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.