Iphone 7 plain i cloud lock

Andazi

JF-Expert Member
Jul 30, 2022
629
1,098
Wadau nilinunua hii simu kwa mtu ambaye aliuziwa na mtu na yeye alisema usiirestore itajifunga

Mimi mbishi nikatumia itunes nika iupdate kisha nikairestore hapo ndo kasheshe simu ikajifunga

Nikafanikiwa kuibypass ila shida network haisomi na pia ukiizima ikiwaka inalock tena

Wadau mwenye msaada nimetengemeza fake proof of purchase nikaituma apple ila najua haitofanya kazi

Simu imetumika zaidi ya 2yrs na huyo alieniuzia ambapo kabla yake ilitumika na mshikaj mwingine ambaye yeye ndio alipeleka kwa fundi kuibypass

Nisaidieni mtu anayeweza kufuta hii lock permanently kwa gharama nafuu saaaana
 
Hazitokagi hizo hasa kama umeupdate maana yake umefunga yale mapengo ya version ya zamani ya iOS.
 
Hazitokagi hizo hasa kama umeupdate maana yake umefunga yale mapengo ya version ya zamani ya iOS.
hivi hakuna software amabayo inaweza kucler cell zote za data ili kuondoa every thing
 
Kuna software ila mpk ununue so km wadau walivyosema nenda kkoo ila usiende kwa wale wa vibarazani ingia ndani kabisa wanazo ila ujiandae salio
 
hivi hakuna software amabayo inaweza kucler cell zote za data ili kuondoa every thing
Kwa ujumla hakuna, karibia software au service zote utakazoziona online za kuondoa icloud lock ni wizi tu utalipa lakini haitoi chochote. Apple wamekazana sana hii kitu isiweze kutolewa.

Nashangaa wanasema Kariakoo inawezekana nadhani labda wana uzoefu na Android, iPhone ni tofauti, anyway kama hakuna malipo bila mafanikio unaweza kujaribu KKoo.
 
Kiufupi hiyo simu sio official ni ya wizi📌🔨 kua makina na simu za mkononi utakuja kununua simu ya marehemu ukapewa kesi ya mauaji
 
Kwa ujumla hakuna, karibia software au service zote utakazoziona online za kuondoa icloud lock ni wizi tu utalipa lakini haitoi chochote. Apple wamekazana sana hii kitu isiweze kutolewa.

Nashangaa wanasema Kariakoo inawezekana nadhani labda wana uzoefu na Android, iPhone ni tofauti, anyway kama hakuna malipo bila mafanikio unaweza kujaribu KKoo.
Kipindi na nanunua ilikuwa tayari inashakuwa unlocked so usiwe isheep kiulinzi ipo poa lakini sio kwamba huwezi kubypass
 
Kuna software ila mpk ununue so km wadau walivyosema nenda kkoo ila usiende kwa wale wa vibarazani ingia ndani kabisa wanazo ila ujiandae salio
Duh nikajua kuna mwamba anaweza share it for free
 
Back
Top Bottom