Nisaidie kutoa pesa kuleta kwenye account yangu tanzania

Andazi

JF-Expert Member
Jul 30, 2022
607
1,065
Habari nina pesa mahali na njia pekee ya kutoa ni paxum au webmoney WMZ je nitapokeaje kama naweza kupata hizi account then direct to my m-pesq with no verification or someone can help me to withdraw i have $70 i need it to pay some stuffs
 
Hhhaa scammer on stage
Kwanini yani mimi ndio scamma au kama mtu anayo akaunti ananipa namba mimi naweka then ikiingia kazi inabake kwake kunitumia locally sababu siwezi kufanya hivyo ni verification sina vitambulisho na bank statements baadhi ya watu wanavyo na wamefungua
 
Back
Top Bottom