Siyo lazima kila Mteja anunue bidhaa ya kukaa nayo muda mrefu, Mteja anaweza kununua Yutong Bus kwa bei elekezi akaizungusha kibiashara baada ya miaka mitano akapata Yutong Buses 2, ana hasara gani hapo ukichukulia Wateja wengine hupendelea kubadili badili bidhaa kila wakati kuliko kudumu na 1...
Maniga ya USA yana ubaguzi kiwango cha juu kuliko hata yale ya SA, kibaya zaidi hufanyiana ubaguzi yenyewe kwa yenyewe ila si kwa Mzungu.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
1. Jogoo mweusi mbona simwoni hapo? Afu tangu niumbwe duniani sijawahimwona [emoji4]
2. Kuna uhusiano gani kati ya viumbe hivi "bundi, popo, njiwa, paka, nyoka, fisi, mende, mijusi" na ushirikina?
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Makiseo nitakuchapa acha fujo haraka [emoji1787]
Cha ajabu zaidi ni kipi hapo sasa, hujawahiona ajali zitokeazo kila siku za magari lakini bado tu Watu hununua na kupambania ndoto hizo hizo za kumiliki magari[emoji848]
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Ametusemea vizuri sana blood group O isipokuwa kuna kenge wapo wenye roho za vijiba wamepovukwa humu balaa [emoji28]
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Me tuishi ki-sungura sungura (akili) kwenye ndoa la sivyo kuwaamini Ke kimahusiano 100% ni kujitafutia vifo vya mapema kabla ya tarehe tulizoandikiwa na Mungu.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Maisha hayajawahi kupangiwa na Binadamu isipokuwa maisha hutupangia Binadamu jinsi yalivyokuwa/yanavyokuwa/yatavyokuwa maana kila kitu kilishapangwa duniani hata kabla Binadamu hatujazaliwa.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Hata Ke wa 1920-1980 walikuwa wanaomba sana pesa na kunyaduliwa nnje kwa siri isipokuwa Ke wa 2000s wanaumbuka sababu ni utandawazi.
Ke azae kwa uchungu = Apewe matunzo na Me..
Me ale kwa jasho = Awajibike kimatunzo kwa Ke na Watoto.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
Manabii wa mchongo na Waganga wa kienyeji changamkieni dili hili [emoji1]
NB:
Funga kwa imani yako thabiti ukatae hizo ndoto na hakika hazitakurudia tena.
Ubinadamu ni kazi/The humanity is a work.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.