Umeongea ukweli mchungu na ngumu kumeza kwa watu wengi. Ni wajibu wa kila mtu mwenye utimamu wa akili kumtengenezea mwanae njia sahihi na yenye manufaa kwa maisha yake ya baadae. Angalia mwanao anauwezo gani asome primary mpk high-school maana atapata basics baada ya hapo anatakiwa aangalie...
Cha kufanya hapo rudi kwa mkeo, achana na mchepuko we jali watoto ulozaa naye hakikisha wanapata mahitaji ya msingi. Usijiroge kumfungulia biashara utapigwa pesa bure, kama hajui maisha ataweza biashara?
Duuh watu wanampatia hasira tu...
Skia najua maumivu uliyonayo kama kaka ake, ila tambua hulka ya mtu haibadilishwi kikubwa fanya maongezi naye mpe ins and outs za maisha ya chuo then trust atafuata ushauri. Asipo fuata huna la kujutia maana kaamua mwenyewe
Kuelewa nimeelewa papa anakubaliana na dhana ya kuwepo kwa same sex relationships ila kama mtumishi wa mungu na kanisa katoliki alipaswa kulipinga badala ya kukubaliana nalo. Tuanzie hapo kwanza dini yenyewe hairuhusu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.