Habari zenu wana JF,
Katika kufuatilia nyuzi kadhaa kuhusu shipping agents kwa meli kutoka China kuja Tanzania, Nimekutana na Silent Ocean, Shamwaa na Mapembelo Cargo.
Which one should i go for?
- Wapo wanaosema silent ocean wako vizuri na wako fasta, wapo wanaosema Silent ocean ni...
Nilichkua Airtel 5G router 110,000 tarehe 25/12/2023. Ilikua inafanya kazi fresh na speed ni nzuri sana. Ila jana tarehe 20/01/2024 imegoma kabisa kushika. sasa sijajua ni shida ya mtandao kwa hali ya mawingu au ndio mwezi ukikaribia wanakata. Mwanzo speed ilikua nzuri ila mwisho. Nmeona ni...
Habari zenu wakuu, kwa yoyote mwenye account ya payoneer, nahitaji kutumiwa $10 ili niweze kufikisha minimum withdrawal nitoe hii pesa. mimi nitatoa cash.
ahsanteni.
Habari zenu wakuu, kwa yoyote mwenye account ya payoneer na uko dar, nahitaji kutumiwa $10 kisha nitatoa cash. Nataka kufikisha minimum withdrawal. Nitoe hii pesa.
Ahsanteni.
Habari zenu wanajamvi.! Nipo Dar nahitaji line ya Safaricom ili niweze kufungua account paypal nipokee malipo mtandaoni.
Kuna ambaye anauza hapa dar au wakala au namna yoyote ambayo mtu anafahamu anielekeze niweze kupata.
Natanguliza Shukrani zangu. 🙏
Habari, nimejiunga na mtandao wa UPWORK hivi karibu. Swali langu kwa wazoefu, Je nitumie bank gani ya uhakika kati ya NMB na CRDB kwa ajili ya kutoa pesa payoneer?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.