YoyoTheDeveloper
Member
- Oct 9, 2021
- 36
- 42
Habari zanu wakuu, kwa wenye uzoefu wa kuagiza bidha kupitia Aliexpress. nahitaji kuagiza bidha kwa mara ya kwanza,
Je nitapokea mzigo kwa njia gani?
Je mzigo utafika bila shida yoyote?
Kama kuna changamoto, ni zipi?
Asanteni.
Je nitapokea mzigo kwa njia gani?
Je mzigo utafika bila shida yoyote?
Kama kuna changamoto, ni zipi?
Asanteni.