Wasalamu, Jana nilifika sehemu kuchukua mboga sehemu kunauzwa na vinywaji moto na baridi.
Niliwakuta jamaa wawili wana Konyagi lile kubwa linaitwa sato.
Nilijiuliza yafuatayo.
Hivi kama Konyagi inaunguza maini kwanini wanaziruhusu watu wazitumie? Ina mana serikali inaingiza Kodi Ili watu wafe...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.