Njoo lesa garden,udambue vitoto vya chuo vimeishiwa boom
nje kdg na mji,lake view,imezungukwa na beach kadhaa kama avash,samanene,wag hill,jembe ni jembe kiasi kwamba unaeza badili mara moja moja sehemu za kuvinjari kwa bei poa,utulivu 100%
gharama ina range mle mle kwenye budget ako.
ukihitaji...
ningeacha kazi then nfungue the same business mi naona ndo ingekua mbaya..
ila kitendo cha kubadili terms ndo kumenifanya nishindwe kuendelea nae..ila kiuhalisia ishu inaenda na inahtaj mtaji mdogo tu 50k..unapga biashara bila shda kabs
vipi ikitokea akanisaidia?..asubuh kanipa maelekezo kwa juu juu,nilichofanya nmenunua kiasi kidogo cha malighaf htajika nkatengeneza kadri alivyonielekeza nimekosea kidogo sana..kesho nataka nkaangalie kabsa by any means i should commence with this kind of business sabu haihtaj mtaji...
Tuendlee
kufpisha maneno,nkaamua kumuuliza kiasi ambach ameplan kunilpa..
asee alitamka atanilipa 80k per month dah,muda nakataa offer yake nilitamka hapana nkitikisa kichwa kbs...80k ni hela ambay nilikuw naweza kuiingza ndan ya wiki moja ..means kwa siku nilikuwa na uwezo wa kuingiza...
Tuendelee..
jamaa wa pili alionyesha nia ya dhati kunisaidia kutokana na changamoto nilizomweleza,hivyo siku mbili baadae alniita..
tuliongea na kuelewana kwamba atanlipa kulingana na jinsi ntauza,hvyo nlitakiwa kuifanyia marketing product alokua anaitengeneza,japo mwanzo nlisita ila nkajipa...
Wakuu habari za wakati huu.
Niwe wazi tu tangu nimemaliza chuo, maisha kwangu yamekuwa magumu, michongo niliyopata ilihitaji niwe na cheti bahati mbaya nina vimeo so hadi niviclear.
Nilivyomaliza home niliwajulisha kuwa nimemaliza na hakuna wa kuni-dis maana wengi wameishia form 4 waliosoma...
Habari za muda huu,ndugu zangu simba fans tujipe pole najua Wengi haijawaumiza kihivyo sabu kushinda mbele ya yanga hii ilivyo sasa lilikua jambo la kubahatisha..all in all timu imecheza vizuri,makosa ya mchezo wa mpira ndo yameamua mechi.
Twende Kwenye mada:
Kwenye Maisha yako ushawahi...
Mimi niliingiza mara mbili nikavaa ndom nkapiga kidogo nkavua,nkachapa kavu dk 5 hazikuisha kukamilisha action 3 yaani kuingiza mara 2 yaan ile ingiza toa ingiza toa nkavaa mpira nkachapa ka dk 1-2 nkavua nkamaliza kwa dk ka mbili tenna,ile nmeachana na demu nkataka nipate abc zake make alkua...
Unakutana na wanawake ambao wanaona wanaume wa dizain yako n rahis kuwapata.au.wanachokpata kwako wanaweza kukipata kwa wenzako 3+ sa wanaona haina haja..
ila mwanamke ukmpatia hata uspompa hela atakaza ila siku 2 hatoboi lazima akuchek kukupa hata hi au kuomba kurudi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.