Tupeane Mikasa ya Mapenzi: Kwanini pamoja na kumnyandua kimtelezo mara kadhaa siku hizi mademu wana nguvu ya kupotezea?

Shalom,

Siku hizi wanawake nao hawatunzi hisia za minyanduano. usipomcheki hakutafuti.

Huwa najiulizaga sana sipati majibu, shida ni mimi nina shoo mbovu kwa mademu zangu , ni mizimu haitaki au Mademu wanakunywa dawa za ganzi ili wasipate hisia za k.udumu tunapowapa shoo kali.

Kitu Cha ajabu kabisa unakuta unatoka na demu hata mara 3 au 5 na unapiga shoo kimtelezo ila anakuwa yuko radhi kuachana na anaweza asikutafute hata miezi 6 na hapo umemla shoo mtelezo awamu zote na akaaishie hivo usipomtafuta na yeye hakutafuti.

Kinyume chake asili ya mwanamke ukishamla anataka muendelezo ila sasa ajabu nyakati hizi demu unamla utadhani anakuja kwenye shoo akiwa kameza dawa za ganzi.

Sijaelewa nimebaki na viulizo ila ukimtaka tena anakuja. hii ni fumbo kubwa sana yaani mademu nao wanaweza kupotezea kama wanaume imekaaje hii?
Siku hizi unatakiwa uwe na uwezo wa kumtunza pia. Hata kama unapiga show kali, endapo huwezi kumhudumia hata kwa vidogo tu basi hapo Mwanaume unakua hauna maana. Ingawa wachache wana bahati ya kugandwa hata kama hawa provide chochote. Haha
 
muda unakwenda kijana ukija kuzinduka wenzako wamesharauka

nakumbuka kipindi cha ujana wetu kuna waliokua kama wewe sasa ni mambo ya malamiko tuh
Ulicho kisema ni cha msingi sana ujana usipo utumia kwa umakini unaweza kuja kujuta.Mm nilizibuka nilikua nabadili wanawake km nguo honga sana hela.Nashukuru mke wangu aliamsha ugomvi mzito ambao ulinifanya nikae chini nijitafakali na pia watu kunisema ndo nikaacha ujinga na kuamnua kufanua maendeleo ya familia yangu.
 
SubhanaLlah , ramadhani yote nije na uzi wa namna hiyo ! mimi sijawahi kuwa na ID zaidi ya hii miaka yote hapa Jf ..

Satoh Hirosh na Maghayo The Mongo Khaan njoeni muoeni mtu mwingine kanihusisha na ID ambayo sio yangu.
Tatizo la kuwa na ushikaji na Genta ndiyo matokeo yake haya.

Kuna namna tangu Genta amekuwa mwanao na wewe unaonekana kama una kibunda cha I'd.

Au nasema uongo baharia Maghayo ?
 
The problem I want true love, so oftenly I hide under low profile, so mostly I come across fake partners, and the story ends there, no sooner had she parts company I reveal my belongings na siwapeagi second chance.
Woiiiiiiih!!!
 
Haya mambo hayana formula, watu tushatoa hadi magari + kulipa bills za hair dressings/ pedicure/ manicure/ waxing etc na bado hatukufika popote. Wapo pia ambao hatukutoa kitu zaidi ya misosi na game kali nao pia hatukufika popote. Kikubwa ni ukipata anayekuelewa na yuko tayari kutulia, nenda nae tu
Narudia na kukazia, PESA iwepoo.
Hayo mengine ni nyongeza tyuuh.
 
Unakutana na wanawake ambao wanaona wanaume wa dizain yako n rahis kuwapata.au.wanachokpata kwako wanaweza kukipata kwa wenzako 3+ sa wanaona haina haja..
ila mwanamke ukmpatia hata uspompa hela atakaza ila siku 2 hatoboi lazima akuchek kukupa hata hi au kuomba kurudi.
 
Back
Top Bottom