Ritchy Breezy
JF-Expert Member
- Dec 9, 2020
- 409
- 589
Habari za muda huu,ndugu zangu simba fans tujipe pole najua Wengi haijawaumiza kihivyo sabu kushinda mbele ya yanga hii ilivyo sasa lilikua jambo la kubahatisha..all in all timu imecheza vizuri,makosa ya mchezo wa mpira ndo yameamua mechi.
Twende Kwenye mada:
Kwenye Maisha yako ushawahi kugombaniwa na Watu muda wanakushauri juu ya jambo fulani...hii inachekesha kidogo ila pia inafikirisha
Nilienda kituo fulani kupata huduma Bahati nilipofika nkakutana na wahudumu nliowahi kukutana nao kwenye serious case.
Kidaftari cha record zangu za matibabu zinacase zinazofanana ikabd wanikalishe ushauri,walianza vizuri tu kwa kupokezana.
Mhudumu1&2 na mimi,tulipokezana vizuri nilipoulizwa nilijibu na pakujieleza nilijieleza..Lakini kadri muda ulivyozidi kila Wales wahudumu kila Mojave walijikuta wanaongea kila mtu akishauri lake..nilitaman kucheka ila nilikaza macho nakayaelekeza mbele kidogo ila nkiwa nimetazama chinii.
At the end waliona kama Hawako saw,Mmoja akaniomba Siku fulani Nifike ili aseme zaidi na mimi.
Je, ushawahi kukutana na hali kama niliyopitia mimi na je ni kwanini hutokea hivyo?
Twende Kwenye mada:
Kwenye Maisha yako ushawahi kugombaniwa na Watu muda wanakushauri juu ya jambo fulani...hii inachekesha kidogo ila pia inafikirisha
Nilienda kituo fulani kupata huduma Bahati nilipofika nkakutana na wahudumu nliowahi kukutana nao kwenye serious case.
Kidaftari cha record zangu za matibabu zinacase zinazofanana ikabd wanikalishe ushauri,walianza vizuri tu kwa kupokezana.
Mhudumu1&2 na mimi,tulipokezana vizuri nilipoulizwa nilijibu na pakujieleza nilijieleza..Lakini kadri muda ulivyozidi kila Wales wahudumu kila Mojave walijikuta wanaongea kila mtu akishauri lake..nilitaman kucheka ila nilikaza macho nakayaelekeza mbele kidogo ila nkiwa nimetazama chinii.
At the end waliona kama Hawako saw,Mmoja akaniomba Siku fulani Nifike ili aseme zaidi na mimi.
Je, ushawahi kukutana na hali kama niliyopitia mimi na je ni kwanini hutokea hivyo?