Nawasalimu.
Naomba kwa wazoefu wanifahamishe Bei ya kumfundisha mtoto tuition akifatwa nyumbani kwao.wa darasa la tano na darasa la kwanza.
Msàada jamani.
Maadamu unao uke,uke unahitaji CHAKULA chake ambacho NI uume ndugu.Kulea watoto NI sawa lakini njaa ikiuma ya uke unafanyaje??
Sasa kila ikifika saa Tisa ya usiku vua nguo zako uwe uchi Kama ulivyozaliwa Anza kumuomba Mungu,mwambie uliniumba Niwe na mwenzangu.Huu mwili una mahitaji take,hitaji...
Rafiki yangu anahitaji mume.
SIFA ZA ANAYEMHITAJI;
Awe mkristo
Awe na Umri kuanzia miaka 43 na kuendelea.
Asiwe mlevi.
Awe na kazi kuajiriwa/ kujiajiri
Asiwe na zaidi ya watoto 2.
Mwenye uelewa.
Awe mkarimu.
Awe Mvumilivu
Awe na Nia ya DHATI&UHITAJI WA MKE( KUFUNGA NDOA)
SIFA ZA RAFIKI YANGU...
Wewe mpumbavu Sana halafu huna akili.
Yaani ukiambiwa tuma Pesa,Basi hapohapo unatuma TU Kama mawe.
Hivi kwa Nini usiwapigie kwanza wahusika kuwauliza ili uhakikishe Kama ndo wao wamekutumia namba???
ACHA KUKURUPUKA.
Tafuna tangawizi mwanzo wa kipindi mpaka mwisho.
Halafu wabafunzi waangalie kuanzia kwenye paji la uso Hadi kwenye nywele.
Maeneo mengine usiwaangalie.
Kingine wakunjie sura.
Tatu,wanaovaa uchi kwenye pindi lako wasisogee piga mkwara
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.