Search results

  1. Red black

    Kwanini maboss mnawataka mabinti zenu wa kazi kingono?

    Wakuu niaje Maboss mnazingua uko na mke tena mkeo ni mzuri/mrembo huko makazini wana_mgombania kichizi halafu wewe unamtaka binti wako wa kazi kingono. Acheni hizo mambo wazee. Maboss mnakwama wapii?
  2. Red black

    Wanaume wenzangu fanyeni mazoezi acheni kula chips yai

    Niajee wakuu, Mazoezi ni muhimu sana. Shauri yenu!!! Mwanaume ata kupiga push ups 10 huwezi, kukimbia nayo huwezi, ata kutembea mdogo mdogo km ½ nayo huwezi. Achaneni na chips yai wazee pigeni tiz(mazoezi ya viungo). Hivyo vitambi waachieni wake zenu. Mazoezi kwa afya bora.
  3. Red black

    Your Direction in Life

    Hope all Jf members your are good. One of the way we feel confident about life is knowning we have a direction. When we walk through life without goals and interest, we are like sheep wandering mindlessly. We follow the path of others instead of our own path. Know that you are here in the...
  4. Red black

    Vijana mliomaliza vyuo kwanini mnavuta bangi?

    Habarini wanajf wenzangu hope mko gud kabisa. Direct niende kwenye topic imekua kama culture kwa vijana wanaomaliza na waliomaliza vyuo vikuu na vya kati kwa asilimia kubwa unakuta ni walevi unywaji wa pombe uliopitiliza, wanavuta bangi,sigara,mirungi... nk Mimi nashangaa sana halafu unakuta...
  5. Red black

    Je, uelewa wako na uwezo wa kujenga hoja ukoje?

    Habarini wana_JF hope mko gud wote. moja kwa moja niende kwenye mada je? uelewa wako na uwezo wa kujenga hoja ukoje hapa jamiiforum's na huko mtaani kwako wakati ukitaka kueleza kile kilichopo kichwani mwako? Maana ukifanya analysis kidogo tu ndani ya jamiiforum's members wengi hawajui kujenga...
  6. Red black

    Huu mwaka 2023 ni kama umekwisha, umefanya nini cha maana?

    Hope mko gud wana-JF wote. Kama heading inavyosema huu mwaka 2023 ni kama umekwisha maana imebakia mwezi mmoja kuingia 2024. Je, wewe ukijifanyia tathimini umefanya nini cha maana ambacho ukikitizama unajipongeza na kufurahi? God1stFamily2nd.
  7. Red black

    Simba tujitathimini huu ni udhalilishaji uliokidhiri...

    Simba 1_yanga 5 hiyo score board nkiiona inaniumiza sana sana sana. Ngoja nizime na simu nilale zangu stakiii kilele. See you tomorrow... blue monday
  8. Red black

    Wanaume wanzangu kumbukeni pesa sabuni ya roho !!

    Habarini wanajf I hope mko gud. Hakika pesa ni sabuni ya roho inakufanya unafeel good sana. Alafu ukiwa na pesa sura inatakata kama unaogea maziwa. For me nikiwa na pesa tu always nakuwa na furaha na amani katika nafsi yangu maana naweza kufanya chochote kwa wakati wowote na mahali popote...
  9. Red black

    Life changes

    Good morning ladies and gentlemen of JF, I'm going directly to the topic without wasting time. As a human you need to recognize that life is constantly changing. your body, emotions, life's circumstances and situations are never static. What happened yesterday is over.Today is a new day and...
  10. Red black

    Nyie wanawake kama mtu humtaki mwambie mapema acha kumpotezea muda wake na kumlia resources zake(fedha)..... nk

    Habarini wanajf i hope mko gud kabisa. Moja kwa moja niende kwenye topic nyie wanawake inshort mnazingu unatongozwa unakubali unaanza kupewa fedha za matumizi..unatoa tunda mwanaume nanogewa naweka malengo at the end of day unaaza drama za kiseng** kwani hamjui kukataa... kama humtaki mtu...
  11. Red black

    Nyie wanawake jitunzeni acheni uvivu

    Jf a place were we dare to talk open. Wakuu niaje I hope mko gud kabsa. Leo ni wakumbushe wanawake ambao wakishaolewa na kuzaa wanajisahau hawajitunzi tena kama before kabla hawajaolewa. Hamjizingatii kwanzia usafi wala uvaaji. Mnajisahau sana mnabweteka hakuna manjonjo tena mnakuwa wa...
  12. Red black

    Kwanini mnaenda kulewa wakati msiba unaendelea?

    Habarini wanajf I hope mko good kabisa. Niende kwenye key point direct bila kupoteza wakati hii issue ikoje watu mnaenda msibani kuzika then mnatoroka na kwenda kunywa pombe baa za jirani hatimaye mnalewa hovyo na kuonyesha picha mbaya kwa wafiwa. Acheni hiyo tabia sio nzuri hata kidogo. Hivi...
Back
Top Bottom