Asante ndugu,,Hatua niliyochukua baada ya kutokea ajali nilipiga polisi wakaja eneo la tukio na kupima ajali kisha kwenda kituoni na kuchukua maelezo na kuandaa file kisha kupeleka mahakamani.Sasa jambo la kushangaza naambiwa kuwa hii kesi ni ya jamuhuri kwahiyo wewe gari yako utalipwa na...
Nilipata ajali boda boda kagonga gari langu kwa nyuma na kusababisha uharibifu mkubwa tu. Sasa nashanga naambiwa eti kila mtu atengeneze chombo chake hii wanasheria humu ndani imekaaje? Msaada tafadhali
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.