Kumbe kwenye betting Jana mess sio man of the match

Wanasema jana Alvarez ndio alikuwa MOTM
IMG-20221214-WA0049.jpg
 
Mkuu,Nimefanya utafiti wa kutosha juu ya hili Mkuu, samples ni humu Jukwaani,huko nje ya Jukwaa kwenye Platforms nyingine za kubashiri,yakiwemo magroup ya WhatsApp. Nina Almost mwaka sasa sijawahi kuona mtu kashinda hayo matreni nikiwemo mimi kwa kujitengenezea odds ama kwa kukopi Codes. Kama wapo basi ni 1/100 000. Vilio vyetu ni vilevile "Timu 1 imeninyima milioni 17, timu mbili zimechana aisee."

Ila bets nyingi zinazoshinda kila mtu anajua ni either zile single games ama multiple games lakini chache. Yes no sure bet wala sure odds ila hapa tunaangalia uwezekano wa kushinda. Kwenye mabehewa uwezekano wa kushinda ni 0.01% ila wale wa Odds kidogo uwezekano ni above 70% hadi 90% ndo maana unaona hata stake zao mara nyingi ni zile ambazo ni kama mtu ana uhakika zaidi.

Ni hayo tu,ila neno langu sio sheria lakini MATRENI NI UPUMBAVU indeed.

Train huwa timu ngapi mkuu ili tuwekane sawa kwanza! maana kuna watu huwa wanakula pia
 
EA90299 Betpawa

Twende na hizi timu 4, mechi namba 4 nimebonyeza bahati mbaya, kusudio langu nimpe CS Sfaxien (hapa nisengekagua ningekuja kusema betpawa wamenibadilishia)
 
Train huwa timu ngapi mkuu ili tuwekane sawa kwanza! maana kuna watu huwa wanakula pia
Treni ni neno tu tuliamua kulitumia kumaanisha mechi nyingi sana. Ila kwa kawaida treni ni mechi si chini ya 20 hadi 60 mwisho.
Ni ngumu kuzipatia zote hizo sio rahisi sana
 
05A817
55981E
809951
39661E
986C548
C97EF2
8B1B7AA
3269C36
158693F
669500A
044D26
74AE2F
8D7793
19DDAC4
59E5778
59E5778

SPORTYBET PROBABILITY YA HII MIKEKA KUTOA NI 0.0% MAANA LAWAMA KEJELI ZIMEZIDI HUMU TODAY ITAKUWA SIKU YA MWISHO KWANGU HUMU WISH U ALL THE BEST KWA KUMPIGA MUHINDI
bigboi unafeli sasa binadamu ndio walivyo ukiwapa chai iliopoa wanaipasha ukiwapa ya moto wanapuliza.
 
Back
Top Bottom