Husika na kichwa cha habari, nipo Mwanza tafuta Vitz bei mwisho 3.5, itapungua kutokana na hali yake, iwe piston 4 na haina madeni, muuzaji awe mmiliki, ukiwa nayo nipm au weka namba ya simu nitakupigia, biashara ni straight foward sitaki maneno mengi sitojibu mtu zaidi ya mwenye mali kwenye hii...
Habari wanajamvi,
Hapa karibuni nimefungua pizza and burger shop ila nimejikuta nakwama katika suala zima la packaging, hususani kwenye upande wa pizza.
Maboksi niliyokuwa nayatumia awali niliagiza kutoka Arusha kuja Mwanza ila yalikuwa ni madogo na hayavutii. Na kwa hapa Mwanza kuna wahindi...
Habari wanajamvi
Nilikuwa nahitaji msaada wa kufahamu wapi naweza kupata rennet kwaajili ya matumizi ya kutengenezea cheese (specifically aina ya mozzarella)..
Katika pita pita zangu naona nyingi zipo kweny masoko ya mtandaoni na ingawa ni rahisi kuagiza ila top up ya gharama ya usafirishaji na...
Habari wanajamvi
Nilikuwa nahitaji msaada wa kufahamu wapi naweza kupata rennet kwaajili ya matumizi ya kutengenezea cheese (specifically aina ya mozzarella)..
Katika pita pita zangu naona nyingi zipo kweny masoko ya mtandaoni na ingawa ni rahisi kuagiza ila top up ya gharama ya usafirishaji na...
Habari... Kwa yeyote anayeuza ps4 ambayo ni fully funcitonal naomba tuwasiliane.. Bei yangu ni laki 7 tu.(700k).... Najua iko chini ila kwa yeyote anayeuza kwa bei hiyo tafadhali tuwasiliane via whatsapp au simu no 0659086226 ...na 0714621992...
Napatikana mwanza tz..
Wakuu habari,
Nilikuwa naomba kuuliza kama kuna yeyote anayefahamu au anayejua nani au wapi nitapata ps4 kwa bei ya laki 7 tu.. (700k).
Hata kama ina pad moja ila najua itakua katika hali nzuri maana zote hazijazeeka sana.
Mwenye kuuza naomba tuwasiliane whatsapp no 0659086226.... Au...
Mwanza kuna uhaba mkubwa wa cd za playstation 3. na kudowngrade ps3 sio ngumu ila ni risky sana... nilikuwa naomba contact ya mtu yeyote anayeweza kudowngrade ps3 (MWANZA) na kumlipa.. ila nahitaji mtu anayejua anachofanya na sio kubahatisha ili akishindwa anicompasete mana ps itakufa kabisa...
Imekuwa ni shida sana kwa watanzania wengi kununua bidhaaa katika masoko haya ya mtandaoni kwani mengi huwa hayakupi fursa ya kutumiwa mzigo wako moja kwa moja Tanzania. Baadhi ya thread zilianzishwa na zimeelezea mengi sana kuhusiana na manunuzi haya ya mtandaoni, ila tulipata ufumbuzi mdogo...
kwa wale fans wa games, EA games pamoja na kampuni ya NetherRealm Studios wanatarajia kutoa game jipya katika series ya games za Mortal Kombat... tunajua mortal kombat 9 ilikuwa the best coz of the x-rya brutalities ila sasa mortal kombat inakuja na style nyingine tofauti na better kuliko ya...
Habari zenu ndugu zangu, kwa muda mrefu nilikuwa nikitafuta software ya windows platform ambayo ni rahis na inaweza kuedit na create movies au music videos, nimejaribu kutumia power director, vegas pro bila mafanikio mazuri kwani speed na kuna ugumu kiasi, kwa uchunguzi nikakumbana na final cut...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.