Habari za asubuhi Wana jamiiforums, Nimatumaini yangu muwazima wa afya.
Wakuu mimi ni afisa tabibu yaani clinical officer ninafanya kazi katika kituo x cha afya cha private na Sina mkataba wa kazi na muajiri wangu.
Ila cha kushangaza muajiri wangu anataka nimpatie vyeti vyangu vya taaluma...
Habari Wana jamiiforum.
Bila kuwachosha naenda kwenye mada moja kwa moja.
Nimejikamua Kama kijana nimeamua kufungua liquor store yangu mkoani Tanga ambayo inafanyakazi masaa 24 kila siku za wiki.
Sasa nauza vinywaji kwa bei ambayo Mimi napata faida
Mfano:-
Highlife -2000
Double kick -2000
Block...
Habari za muda huu wanajamvi
Leo nikiwa katika majukumu yangu yakazi amekuja babu wamika 103 kupata huduma ya afya katika hospital ya wilaya.
Babu akanikuta nikiwa kwenye majukumu ya kutoa huduma kwa wateja waliokuja kupata huduma ya afya.
Baada ya kumhudumia babu na kumpatia matibabu yake...
Wanajamvi habari za muda huu, poleni na majukumu ya kutafuta ridhiki. Niende kwenye mada moja kwa moja.
Nimepangisha fremu kwenye NYUMBA moja mjini kwa lengo la kufungua biashara ya pombe Kali yaani liquor store.
Nikaingia mkataba na mwenye nyumba wa miezi kumi wakati huo yeye hajui nataka...
Wana jamiiforums kama makanisa yanaruhusu na kuunga mkono ndoa za jinsia moja
Mfano wa makanisa hayo ni Angrikana, Roma, kanisa la mitute viongozi wake wametoka hadharani na kutangazia wafuasi wao kuwa makanisa hayo yana ungamkono ndoa za jinsia moja.
Swali langu la msingi ndoa ya jinsia moja...
Wanajamvi kuna hili swala la watu wenye changamoto mbalimbali za kiafya namaanisha waogonjwa kupelekwa kusomewa Dua au kwenye maombi ili kutatua changamoto zao za kiafya.
Swali ninalojiuliza moja kama kweli Dua na Maombezi vinaponya Maradhi kwanini wasoma Dua na waombeaji hawendi kwenye vituo...
Mkopo unatokana na kitenzi kukopa, Kukopa ni umiliki wa pesa kutoka kwa Mtu binafsi au Shirika au Taasisi za kifedha kwa makubaliano ya kurejesha kiasi kilichokopwa.
Mikopo kausha damu ni mikopo kutoka kwa Mtu binafsi au Shirika au Taasisi za kifedha yenye riba kubwa.
Mikopo kausha damu...
Mimi nikijana mwenye mika 28 ninaishi mkoa wa Tanga nimehitimu chuo mwaka 2021. Kwa sasa nimejitolea katika hospitali ya wilaya. Natafuta kazi mkoa wowote na wilaya yoyote.
Kwamawasiliano na kupata CV yangu: kclafya@gmail.com
Wakuu Mimi nimeanzisha kampuni iitwayo kwezitu ambayo inatengeneza chai ya karafuu yaani clove tea.
Kampuni imekizi vigezo vyote vya kisheria na inaruhusiwa kuzalisha na kufanya biashara.
Wakuu natafuta wasambazaji au makampuni ya masoko yaani marketing company ili nifanye nao mazungumzo ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.