Ushauri: Mwajiri anataka vyeti pamoja na leseni (original) ili anisajili kwenye kituo chake, hii ni sahihi? Nitaweza kuajiriwa serikalini?

SONDR

JF-Expert Member
Apr 18, 2019
274
656
Habari za asubuhi Wana jamiiforums, Nimatumaini yangu muwazima wa afya.

Wakuu mimi ni afisa tabibu yaani clinical officer ninafanya kazi katika kituo x cha afya cha private na Sina mkataba wa kazi na muajiri wangu.

Ila cha kushangaza muajiri wangu anataka nimpatie vyeti vyangu vya taaluma pamoja na leseni hai hardcopy ili anisajiri kama mtumishi wa kituo chake je, hii nisahihi?

Lakini wasiwasi wangu nikishasajiliwa kwenye mfumo kama mtumishi wakituo x je nitaweza kuajiliwa na serikali?

Wakuu naombeni ushauri wenu kijana mwenzenu nipo njia panda.
 
Habari za asubuhi Wana jamiiforums, Nimatumaini yangu muwazima wa afya.

Wakuu mimi ni afisa tabibu yaani clinical officer ninafanya kazi katika kituo x cha afya cha private na Sina mkataba wa kazi na muajiri wangu.

Ila cha kushangaza muajiri wangu anataka nimpatie vyeti vyangu vya taaluma pamoja na leseni hai hardcopy ili anisajiri kama mtumishi wa kituo chake je hii nisahihi.???

Lakini wasiwasi wangu nikishasajiliwa kwenye mfumo kama mtumishi wakituo x je nitaweza kuajiliwa na serikali?????
Wakuu naombeni ushauri wenu kijana mwenzenu nipo njia panda.
Utaweza kuajiriwa Tu, Kwa sababu Serkali inachoangalia ni kama una check no au uliwahi kupata check no.

Na kama Ulikuwa unalipwa pesa Na serkali kupitia Mashirika Binafso au ya Kidini lakini kama vyote hivyo ni hapana bhasi unaweza kuajiriwa..

Scan vyeti vyako Kwa ajili ya kutuma maombi..
Japo Usimpe Vyeti Original hata Kama atakuambia nini Kama atataka Mpe scanned Doccument
 
Utaweza kuajiriwa Tu, Kwa sababu Serkali inachoangalia ni kama una check no au uliwahi kupata check no.

Na kama Ulikuwa unalipwa pesa Na serkali kupitia Mashirika Binafso au ya Kidini lakini kama vyote hivyo ni hapana bhasi unaweza kuajiriwa..

Scan vyeti vyako Kwa ajili ya kutuma maombi..
Japo Usimpe Vyeti Original hata Kama atakuambia nini Kama atataka Mpe scanned Doccument
Thanks kk
 
Eh mwayaa
😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘😘
 
Back
Top Bottom