Search results

  1. Darmian

    What's so special about Nairobi?

    Nimekuwa nikisikia neno Nairobi kwenye movies and series nyingi sana za western, na nadhani pia na nyie mtakubaliana na mimi kuhusu hili. Swali langu ni kwanini Nairobi mara nyingi na sio jiji jingine la Afrika? Kuna Lagos, Cairo, Cape Town, Dar es Salaam, Luanda, Johannesburg, Dakar na mengine...
  2. Darmian

    Kuangalia mechi inayopigwa Azam Complex Atleast inavutia

    Ligi yetu tunaambiwa inakuwa kwa kasi lakini aisee nikiangalia mechi ambayo haipigwi Azam complex huwa sioni mvuto wowote.. Tuwekeze kwenye viwanja aisee...Kwa Mkapa hadi leo hamna hata tv screens za matangazo pembezoni..tuko serious kweli?..Taa za kuunga unga,aibu tupu. Uzi tayari..shots...
  3. Darmian

    Mimi Mars: The Most Underrated Tanzanian Female Arstist

    Tuache utani wakuu huyu Mimi Mars haimbwi sana midomoni mwa watu na yeye mwenyewe sijui anajichukuliaje but ngoma zake zote zina taste nzuri sana. Naenjoy "La la la" aliyo mshirikisha Toto bad Marioo and what i can say,this song is a very very good, huyu dada anajua kutupa ngoma kali. Ngoma...
  4. Darmian

    Kenya hamna hospitali za kueleweka kwenye ukanda uliopakana na Kilimanjaro?

    Wakenya wengi sana wanakuja kwenye hospitali za Mkoa wa Kilimanjaro. Naomba kuuliza, hivi nyie huko kwenu hamna hospitali au shida ni nini hasa? Kipindi kile Magufuli anataka kuleta Madaktari wa Tz hapo Kenya baadhi yenu mling'aka kuwa hamtaki kutibiwa na waganga wa kienyeji.How comes ndugu...
  5. Darmian

    Vibendera vya Israel kwenye magari ya Wabongo

    Wakuu heshima kwenu. Naomba tu kuuliza japokuwa najua kufuatilia mambo ya watu sio mchongo wala nini. Huwa naona vibendera vya taifa la Israel kwenye magari ya watu ambao naamini kabisa ni Wabongo wenzetu. Sasa wakuu naomba tu kuuliza what is the motive behind this? kunakuwa na affiliation...
  6. Darmian

    Hivi mnawezaje kumtema mtu ambaye ulimtamani tu kimapenzi na ushamchoka?

    Wakuu good evening. Aisee kuna hili swala mimi huwa linanitesa sana..Mimi huwa kuna muda namtamani tu mwanamke i.e sijiingizi kwenye serious relationship,yaani nazugazuga tu kuwa nampenda huku nikimtumia na baada ya muda naona sina haja ya kuendelea nae,kwanza kadri navyozidi kuwa ndo...
  7. Darmian

    Hayati Mwalimu Nyerere alikuwa anawalenga kina nani kwenye hii speech yake?

    Wakuu heshima kwenu. Nilikuwa Youtube nacheki baadhi ya hotuba za Mwalimu Nyerere nikakutana na hii ambayo alikuwa anatoa maneno makali kuhusu Viongozi au Wanasiasa "Malaya Malaya".. Pia akaongezea kuwa JWTZ ni jeshi ya Wananchi na sio jeshi la vibaraka..Pia akang'aka kuwatafuta mmoja baada ya...
  8. Darmian

    StarTV wanajitahidi sana kutokuwa waoga. Media nyingine zimeufyata, hawaibui hoja zozote kinzani (in a positive way) kwa Serikali na CCM

    Nipo sehemu hapa kuna mdajada unaendelea StarTV, wamemualika mpinzani anatema cheche ambazo kwa mtu mwenye akili sawa lazima aone jamaa ana point..sidhani kama kuna Media inaweza kutoa platform kwa hili kutendeka..hongereni StarTV. Anahoji inakuwaje watendaji wa CCM wanatembea nchi nzima...
  9. Darmian

    Rais Samia toa kauli zenye nguvu na zilizo bayana

    Ni vyema Rais Samia wakati wa kutoa maelekezo yake awe anakuwa wazi nini hasa anataka na atoe kauli zenye nguvu ili ujumbe ufike kwa nguvu pia kwa wahusika wote wa pande mbili. Leo wakati anatoa hotuba yake mara baada ya kuwaapisha Mawaziri na Mwanasheria mkuu wa Serikali alitoa neno kuhusu...
  10. Darmian

    VPL vs Ndondo Cup ya Clouds

    Wakuu mambo ni nini? Hivi inakuaje bingwa wa Ligi Kuu Tanzania Bara ambayo inadhaminiwa na mtandao namba moja wa simu TZ yaani Vodacom apate Tsh 80m wakati mshindi wa Ndondo Cup yeye anavuta Tsh 20m? Hizi sio dharau?. It's high time kwa mdhamini mkuu wa ligi kumwaga pesa kidogo,au kama vipi...
  11. Darmian

    Zanzibar: Tsh. 150M zilizookotwa zarudishwa. Biashara ya kununua jini yahusishwa

    Nilikuwa nime-tunein to Clouds FM Amplifaya na Millard Muyenjwa Ayo nikasikia hii stori na imenishangaza kidogo. Kuna bwana huko Zanzibar aliokota milioni 150 na akaona ni bora atangaze ili aliyezipoteza aje kufwata mzigo wake alikuwa anauliza tricky questions ili ampate aliyezipoteza kweli...
  12. Darmian

    Finally nimepata relief...

    Good evening sis' and bro's Najihisi mwenye furaha kushinda mtu yeyote duniani leo hii... Kuna maeneo ndom zenye ubora zimepotea na zilizobaki ni za viwango vya chini,kupasuka katikati ya gemu ndio kitu zinafanya zimetaka kuniletea msala, good news ni kuwa nimechomoka na nitaangalia game ya...
  13. Darmian

    Masoud Kipanya kwenye ubora wake

    KP
  14. Darmian

    Kuongea na kuwafanyia "nasty" things wahudumu wa kike sio jambo zuri

    Good evening brothers and sisters. Kuna jambo nimekuwa nalishuhudia mara kwa mara na limekuwa likinipa maswali kadhaa. Ni kuhusu wanaume kuongea maneno "nasty" kwa wahudumu hasa wa migahawani na sehemu nyingine na wengine hadi wanawachezea miili yao. Leo niliingia sehemu kupata mtori asubuhi...
  15. Darmian

    Huyu Mbwa kwisha habari yake

    Sina hakika kama huyu mbwa atakuwa mzima kesho asubuhi kama mwenye mali akimkuta
  16. Darmian

    Sexologist au yeyote mwenye uzoefu na hili jambo naomba majibu

    Hi everyone! Wana MMU naomba ni-adress jambo moja ambalo nishakutana nalo mara kadhaa na linanichanganya kidogo. Wakati na ku-sex (foreplay or penetration) kuna muda mwanamke huwa anasema anataka kwenda chooni kukojoa. Mimi huwa nawazuia ila huwa wanaendelea kulalamika kuwa wanataka kwenda...
  17. Darmian

    Google wametoa Pixel 4 na Pixel XL

    Google wiki hii wametambulisha simu zao mpya ambazo ni Pixel 4 na kaka yake Pixel 4XL Bei ya Pixel 4 ni $799 kwa 64gb Bei ya PIxel 4XL ni $899 kwa 64gb Wataalamu wa Tech,mnazungumziaje huu ujio mpya wa Google??.. CHIEF MKWAWA
  18. Darmian

    Msanii Moni Centrozone 'amwaga chozi' live kwenye XXL

    Leo nimemsikia Moni Wa Centrozone akilia kwenye kipindi cha XXL cha Cloud's FM wakati kikiwa kinafika mwisho..Nikajiuliza anact au analia kweli??,,inakuaje kwanza mwanaume mzima unalia wakati ukiwa hewani redioni?? Sababu aliyoitoa ni kwamba Adam Mchomvu anamsahau(yeye ndo aliyemtambulisha...
  19. Darmian

    Marioo "Number one local artist right now" IMO

    Huyu bwana mdogo kwa upande wangu namwona kama ndo msanii mwenye kazi nzuri zaidi kibongobongo kwa sasa.. √ Uandishi ulioenda shule √Melody √Clean lyrics Everything top notch Sema music industry ya bongo bado sana na imelalia upande mmoja ambapo huo upande ni lazima uchanganye muziki na...
  20. Darmian

    Msaada,Application UDOM

    Wakuu nilikuwa namfanyia dogo application UDOM,sasa kwenye zile three choices naona kama wanataka nijaze zote,mimi nataka nimuombe moja tu..nifanyaje hapa wakuu??
Back
Top Bottom