Search results

  1. Comrade Ally Maftah

    Tunadesign na tunaprint vitu vifuatavyo

    TUNADIZAINI NA KUPRINT VITU VIFUATAVYO 1. POSTER (TANGAZO) 2. LOGO 3. LEBO ZA BIDHAA 4. FLYERS 5. BUSINESS CARD 6. WARRANTY CARD 7. DELIVERY CARD 8. ID (IDENTITY CARD) 9. BROCHURE 10. MAGAZINE 11. KALENDA 12. KADI ZA MIALIKO YA ( HARUSI, SENDOFF...) 13. BOOK COVER 14. PACKAGE DESIGN 15. CAR...
  2. Comrade Ally Maftah

    JIKO LINALOTUMIA MKAA KIDOGO

    KWANINI UTUMIE JIKO HILI LA MKAA KIDOGO 1. JIKO LA KUPENDEZA KWENYE NYUMBA YAKO LIMEUNDWA KATIKA UMBO LA KUPENDEZA NA MALIGHAFI ZILIZOUNDA JIKO NI ZA MITHIRI YA SILVA HIVYO LINAKUPA UNADHIFU 2. LINATUMIA MKAA KIDOGO MNO, LINAPUNGUZA MATUMIZI YA MKAA KWA ZAIDI YA ASILIMIA 80. 3. HALIPATI JOTO...
  3. Comrade Ally Maftah

    Tunatengeneza mihuli

    MIHULI JE UNATAKA MHULI WENYE LOGO WENYE TAREHE AU YA KUKUNJA KARATASI NJOO TUZUNGUMZE 0785670227
  4. Comrade Ally Maftah

    HUDUMA ZETU KATIKA UFUGAJI

    HUDUMA ZETU KATIKA TASNIA YA UFUGAJI 🍎Mashine za kutotolesha vifaranga [full automaticIncubator] 🍎Vichanja vya kufugia kuku wa nyama na mayai (Poultry cage's) 🍎mashine ya kutengeneza chakula chenga chenga [pellet machine] 🍎Taa za joto maalumu kwa ajili ya kulelea vifaranga. 🍎Vifaa vya...
  5. Comrade Ally Maftah

    Mwanaume chukua tahadhari unapoanzisha mahusiano

    MWANAUME CHUKUA TAHADHARI UNAPOTAKA KUINGIA KWENYE MAHUSIANO NA MABINTI WA SASA Na Comrade Ally Maftah Kumezuka tabia za wakina dada kufanya utapeli katika mfumo wa kimahusiano, kuna mabint na wengine wapo kwenye hizi dating site wameamua kuishi kwa kutumia mfumo wa mahusiano yasiyofikia...
  6. Comrade Ally Maftah

    Wanawake huachwa solemba baada ya kufanya makosa haya

    WANAWAKE WANAOANGUKIA KATIKA MIMBA NA MARADHI NA KUKIMBIWA HUWA WANAKUWA WAMEKOSEA HAPA Na Comrade Ally Maftah Kutokana na ongezeko kubwa la watoto wanaokosa malezi ya baba leo nina wiwa kutoa elimu wa kina dada wajue ni makosa yapi wanakuwa wameyafanya na kijikuta wanakimbiwa na wanaume 1...
  7. Comrade Ally Maftah

    Wanawake wanaoangukia katika mimba na maradhi na kukimbiwa huwa wanakuwa wamekosea hapa

    WANAWAKE WANAOANGUKIA KATIKA MIMBA NA MARADHI NA KUKIMBIWA HUWA WANAKUWA WAMEKOSEA HAPA Na Comrade Ally Maftah Kutokana na ongezeko kubwa la watoto wanaokosa malezi ya baba leo nina wiwa kutoa elimu wa kina dada wajue ni makosa yapi wanakuwa wameyafanya na kijikuta wanakimbiwa na wanaume 1...
  8. Comrade Ally Maftah

    Paul Makonda ni mwamba kweli kweli

    KAZI ANAZOFANYA MAKONDA, WAZALENDO TUWE TUKIMUOMBEA SANA, Kila nikitazama ujasli na weredi wa Mh Paul Makonda napata faraja kubwa sana, nimefurahishwa na kauli yake akisema hatoyumbishwa, wahuni wanaomyumbisha ni kama wanambembeleza akiwa usingizini au akiwa kwenye chumba cha masage. Iko hivi...
  9. Comrade Ally Maftah

    IMARISHA UWEZO WA KUMUDU TENDO LA NDOA

    FOREVER BEDROOM PACK ( KIFURUSHI ) 1. ARGI + 2. MULTI MACA 3. VITOLIZE FOR MEN Na Comrade Ally Maftah JITU LA MIRABA. ARGI +. (FOREVER ARGI PLUS ) 🫴🏾Kirutubisho hiki kipo kwenye mfumo wa unga, unaweza kuchanganya kwenye maji, maziwa mtindi, sharubati Kazi kubwa ya Argi Plus ni kuhakikisha...
  10. Comrade Ally Maftah

    Nauza vitabu vya ufugaji kwa Tsh. 2000 tu

    Kitabu cha kupunguza gharama za ufugaji kipo tayari, Soft copy ni tsh 2000. Hard copy 20000. Kitabu kipo maktaba ya taifa kwa uwezo wa allah. Sura ya kwanza Vyakula mbadala na uchanganyaji wa chakula 1. Hydroponic fodder 2. Azola 3. Minyoo 4. Bio earn 5. Inzi chuma 6. Molases 7...
  11. Comrade Ally Maftah

    Tengeneza upekee na umuhimu uchaguliwe kundini

    TENGENEZA NAFASI, ILI UWE MUHIMU NA UCHAGULIWE KUTOKA KUNDINI Na Comrade Ally Maftah Somo la leo nitajumuisha maeneo yote ninayofanyia kazi kwa ukaribu na uzoefu wangu tangu naanza kazi mpaka leo nilopofanya maamuzi ya kutoajiliwa tena isipokuwa kwa mkataba wenye maslai mapana mno. Moja ya...
  12. Comrade Ally Maftah

    Kuna vitu ni muhimu sana lakini havionekani katika hali ya ubora na kuna vitu ni bora lakini kuna wakati si muhimu kwa kiwango chake

    KUWA MUHIMU NA SI BORA Na Comrade Ally Maftah Bahati ninayoipata kijenga marafiki imenikutanisha na Abdulkarim, katika harakati za kisanaa tukiwa katika moja ya kikao nilibahatika kuokota busara kadhaa kutoka kwa kiongozi huyu. KUWA MUHIMU NA SI BORA Kuna vitu ni muhimu sana lakini...
  13. Comrade Ally Maftah

    Usipoteze muda kubembeleza watu

    Na Comrade Ally Maftah KING OF ALL SOCIAL MEDIA Moja kati ya makosa nuliyowahi kuyafanya miaka kadhaa iliyopita ni kubembeleza watu wanielewe, kumshawishi mtu kwamba ninafanya kitu sahihi, nakumbuka siku naamua kwamba sitaki tena kuajiriwa na nimeamua kujisimamia mwenyewe na kuingia katika...
  14. Comrade Ally Maftah

    Usijiingize kwenye mahusiano ukianza kuona dalili hizi

    USIJIINGIZE KWENYE MAHUSIANO UKIANZA KUONA DALILI HIZI Na Comrade Ally Maftah Changamoto nyingi zinawakumba watu kwenye mahusiano huwa dalili zinakiwa zimeshaonekana mapema tu.na dalili hizo ni zifuatazo 1. MASHARTI -: MAHUSIANO YA MASHARTI HAYAFAI Usiingie kwenye mahusiano endapo mwenza wako...
  15. Comrade Ally Maftah

    Vitu hivi pambana uvipate, ukivikosa usilazimishe jipe muda- pesa, mapenzi na madaraka

    Na Comrade Ally Maftah KING OF ALL SOCIAL MEDIA Katika hii dunia inayokwenda kasi na isiyohitaji kubembelezana, unatakiwa kupata hivi vitu vitatu kwa namna ambayo hutoutweza utu wako. 1. PESA/ MALI Katika hii dunia hakuna mbadala wa pesa, ili uishi kwa furaha ni lazima uwe na pesa, hivyo basi...
  16. Comrade Ally Maftah

    Mtafutano wa mwanaume mwenye pesa, mwanamke mwenye hekima na jitihada

    KASUMBA YA WANAWAKE WANAOTAFUTA WANAUME WENYE PESA, WAKATI WAO HAWANA PESA Na Comrade Ally Maftah KING OF ALL SOCIAL MEDIA Kuna wanawake wamekuwa wakisikika wakitaja vigezo vya wanaume wanaowatafuta na moja ya kigezo ni awe na hela, mimi mtu ambae natafakari mambo nilijiuliza unaposema mtu...
  17. Comrade Ally Maftah

    INAUZWA Manual feeder inauzwa

    Faida yake 1. Huondoa tatizo la kupotea kwa chakula 2. Usafi wa chakula 3. Inachukua nafasi ndogo bandani 4. Huondoa uwrzekano wakuambukizana magonjwa MAWASILIANO 0785670227 Comrade Ally Maftah
  18. Comrade Ally Maftah

    Jitambue, jiamini, jielimishe na chukua hatua

    Na Comrade Ally Maftah KING OF ALL SOCIAL MEDIA Baada ya kipindi kirefu kupita tangu WILIAM MALECELA ( LE MUTUZ ) rafiki yangu kumaliza kazi aliyotumwa na Mungu nimeona kuna ombwe kubwa katika sanaa ya uelimishaji kwa kutumia mifano halisi, na kutafsiri elimu ya magharibi katika nadharia za...
  19. Comrade Ally Maftah

    Watoto wa kike wanaokosa malezi ya baba wapo hatarini kuanza matendo ya ndoa katika umri mdogo na kupelekea mimba za utotoni

    WATOTO WA KIKE WANAOKOSA MALEZI YA BABA WAPO HATARINI KUANZA MATENDO YA NDOA KATIKA UMRI MDOGO NA KUPELEKEA MIMBA ZA UTOTONI Na Comrade Ally Maftah KING OF ALL SOCIAL MEDIA Kwa mujibu wa tafiti mbalimbali inaonyesha kwamba mtoto anayekosa malezi ya baba anakuwa hatarini kupata mimba za utotoni...
  20. Comrade Ally Maftah

    Chama cha Mapinduzi ni kizuri kama nini! Tuone nini ni nini?

    Na Comrade Ally Maftah Kuna ule usemi kitu kikiwa kitamu unasema "KITAMU KAMA NIININI" nataka tujue niinih ni nini? NIININIH NI! 1. UTARATIBU WA VIKAO VYA KIKANUNI NA KIKATIBA Chama cha Mapinduzi kina utaratibu wa vikao mbalimbali, mambo yake yanajadiliwa kistaarabu na kwa usiri. 2. MATUMIZI...
Back
Top Bottom