hii 32,769,250 ikiwa kama mtaji wa biashara kwa form4 failure anaanza nayo, nina uhakika ndani ya miaka miwili huyu mtu akiwa na bidii ya kazi atakua na mtaji wa 100M
unaidharau 1.5 ukiiona ni ndogo sana, hiyo hela ukiigawanya kwa siku 30 maana yake kwa kila siku mtu anapata 50,000 (mpaka siku za jumamos na jumapili au holiday ) kwa mtu mwenye akili ya saving na matumizi sahihi ya hela anafanya jambo la maana,
Tunasahau pia kuwa kwa mshahara wa hii 1.5 TAKE...
Mtoto wa kiume kulia lia sio solution, amka pambana kapigane vita vya kimaisha ukiwa imara, hata hiyo elimu ya ualimu unayosomea haitakusaidia kitu, ingia mtaan kapambane sana, katafute hela, kulia lia maisha magumu sio michongo, maisha ni magumu kabla hata hujazaliwa wewe, life has never been...
Islamic..... islamic........ islamic........ arabic....... arabic ...........islamic.......divinity toeni ujinga huu kwenye mitaala, mambo ya udini hayata kaa kulikomboa taifa hili kwenye umaskini
bado dini zenyewe hazilipi kodi sasa si mnazalisha wachungaji na mashehe wengi baadae...
magari mengine yametumika Zanzibar yameburuzwa ovyo ovyo yakivuka bara yanasajiliwa namba E ya leo, na ushamba wetu wa bara tunazishobokea namba ndo gari mpya.
sisi wabongo tuna kaushamba fulani kakuzaliwa nako, hatuji kukubali na kubadilika. mtu anachekelea namba mpya ya gari badala ya kuangalia ubora wa gari katika engine, gearbox na body.
Demu anakujibu hivyo na wewe upo tuu? Hapa ilitakiwa utupe mrejesho kuwa ushaachana nae unatupa way foward sio kuomba ushauri ufanyaje, kuna madem kibao mtaan bro achana na iyo takataka fasta
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.