proton pump
JF-Expert Member
- Apr 30, 2017
- 5,612
- 7,368
Ukiwa na kazi na umesoma mpaka raha. Yani mwanaume unamfanya unavotaka mpaka anakuja jf kuomba ushauri mana wewe ni wife wa ndoto. Daah nimelia sana.
Ukiwa na kazi na umesoma mpaka raha. Yani mwanaume unamfanya unavotaka mpaka anakuja jf kuomba ushauri mana wewe ni wife wa ndoto. Daah nimelia sana.
NilimwambiaMungu kashakuonyesha kua huyo SIO sasa we ukibisha ni wewe na nafsi yako, shukuru kakuonyesha mapema kua wewe sio wake kabla hujam'beba mazima
Kijana miaka ishirini na saba ni mingi..sasa anza kuwa mwanaume..toka huko kwenye uvulana ulipo sasa. Fanya maamuzi hamna mtu hapo anakumanipulate tu na ugonjwa huo tiba yake ni uhuru wake tu..Mimi ni mwanaume wa miaka 27, nina mchumba tuliyedumu miaka 3 sasa kuanzia 2021 tulipomaliza chuo pamoja na mpaka sasa tunaishi pamoja
Nafanya kazi Kampuni ya mawasiliano na yeye anasoma masters huku akifanya kazi Bank moja hapa jijini. Wakati tunaanza mahusiano kila mmoja alikuwa wazi kuhusu historia yake ya mahusiano ambapo mimi hapo awali niliwahi kuwa na mpenzi mmoja tu ila yeye aliwahi kuwa nao watatu. Tulikubaliana kwa pamoja mwaka huu 2024 nikafanye utambulisho kwao then swala la mahari lifate
Mara nyingi nakuta message za mapenz kwny simu yake kutoka kwa wapenzi wanaume wa zamani ila alikuwa mwepesi kuomba msamaha na kukiri kuacha na anasema hana mpango nao ni mawasiliano tu. Lakini hakuacha tabia hii alifuta majina zikaonekana namba tu na yupo makini sn na sim yake hata bafuni alikuwa anaenda nayo.
Pamoja na hayo alichojibu baada ya kumtaka kumfahamu anawasiliana na nani ni hiki:
1. Huna haja ya kufaham marafiki zangu
2. Huyu nilianza nae mahusiano kabla yako
3. Nina uwezo wa kuwa hata na wanaume 10 ni maisha yangu.
Naumia sana wandugu sijui la kufanya, ameomba msamaha kuwa ni shetani tu kampitia. Nishaurini ndugu zangu nifanye nini
1-3 Umeona sare apo bado Demu anamzidi mselaIla mzee pamoja na shauri zote zilizotolewa huko juu, mimi ushaur wangu ni mmoja tu, AKILI YA KUAMBIWA CHANGANYA NA YAKWAKO. sikushauri kumwacha huyo mpenzi wako ila je kama ukimuacha leo then huyo utakayempata atakuwa na unafuu kuliko huyu? Katika dunia ya leo kupata mwanamke ambaye hana dosari kama hizo ni nadra sana. Chamsingi ni kukaa na mwenzio na kuangalia shida iko wapi namna ya kuitatua ili maisha yaendelee.
Ni kweli but not for long, in the long run kusoma kwako hakukusaidii kutengeneza long lasting relationship (else ungeolewa na lecture) na wanawake mnapokosea (japo si wote) ni kufikiri mwanaume anafuata elimu yako, unajidanganya, mwanaume anafuata peace, respect and making a family, the moment akikosa hata kimoja nisuala la muda atahamaUkiwa na kazi na umesoma mpaka raha. Yani mwanaume unamfanya unavotaka mpaka anakuja jf kuomba ushauri mana wewe ni wife wa ndoto. Daah nimelia sana.
baby mamboooo
ukatili wa hali ya juu huuHabari yako mkuu!
Hapana mkuu...ni njia sahihi ya kueleweshanaukatili wa hali ya juu huu
Ukizingatia mbususu zipo kibaoooo1.Mwanamke anaficha ficha simu unaanzaje kumpa trust yako?
2.Unakuta anachat na madume unam confront anafuta majina anabakisha namba tu. Anendelea na usengemaji wake na kukujia juu.
Huitaji degree kutambua kwamba ni muda wa kufungasha virago😁
HAFAI.Uzi ufungweMimi ni mwanaume wa miaka 27, nina mchumba tuliyedumu miaka 3 sasa kuanzia 2021 tulipomaliza chuo pamoja na mpaka sasa tunaishi pamoja
Nafanya kazi Kampuni ya mawasiliano na yeye anasoma masters huku akifanya kazi Bank moja hapa jijini. Wakati tunaanza mahusiano kila mmoja alikuwa wazi kuhusu historia yake ya mahusiano ambapo mimi hapo awali niliwahi kuwa na mpenzi mmoja tu ila yeye aliwahi kuwa nao watatu. Tulikubaliana kwa pamoja mwaka huu 2024 nikafanye utambulisho kwao then swala la mahari lifate
Mara nyingi nakuta message za mapenz kwny simu yake kutoka kwa wapenzi wanaume wa zamani ila alikuwa mwepesi kuomba msamaha na kukiri kuacha na anasema hana mpango nao ni mawasiliano tu. Lakini hakuacha tabia hii alifuta majina zikaonekana namba tu na yupo makini sn na sim yake hata bafuni alikuwa anaenda nayo.
Pamoja na hayo alichojibu baada ya kumtaka kumfahamu anawasiliana na nani ni hiki:
1. Huna haja ya kufaham marafiki zangu
2. Huyu nilianza nae mahusiano kabla yako
3. Nina uwezo wa kuwa hata na wanaume 10 ni maisha yangu.
Naumia sana wandugu sijui la kufanya, ameomba msamaha kuwa ni shetani tu kampitia. Nishaurini ndugu zangu nifanye nini
Hakuna mwanamke wa kuoa hapo achana naeMimi ni mwanaume wa miaka 27, nina mchumba tuliyedumu miaka 3 sasa kuanzia 2021 tulipomaliza chuo pamoja na mpaka sasa tunaishi pamoja
Nafanya kazi Kampuni ya mawasiliano na yeye anasoma masters huku akifanya kazi Bank moja hapa jijini. Wakati tunaanza mahusiano kila mmoja alikuwa wazi kuhusu historia yake ya mahusiano ambapo mimi hapo awali niliwahi kuwa na mpenzi mmoja tu ila yeye aliwahi kuwa nao watatu. Tulikubaliana kwa pamoja mwaka huu 2024 nikafanye utambulisho kwao then swala la mahari lifate
Mara nyingi nakuta message za mapenz kwny simu yake kutoka kwa wapenzi wanaume wa zamani ila alikuwa mwepesi kuomba msamaha na kukiri kuacha na anasema hana mpango nao ni mawasiliano tu. Lakini hakuacha tabia hii alifuta majina zikaonekana namba tu na yupo makini sn na sim yake hata bafuni alikuwa anaenda nayo.
Pamoja na hayo alichojibu baada ya kumtaka kumfahamu anawasiliana na nani ni hiki:
1. Huna haja ya kufaham marafiki zangu
2. Huyu nilianza nae mahusiano kabla yako
3. Nina uwezo wa kuwa hata na wanaume 10 ni maisha yangu.
Naumia sana wandugu sijui la kufanya, ameomba msamaha kuwa ni shetani tu kampitia. Nishaurini ndugu zangu nifanye nini
3. Nina uwezo wa kuwa hata na wanaume 10 ni maisha yangu.
hivi kuna watu tunanyenyekea na heshima kama sisi tusiosoma?ila unaonekana kuna kitu umepungukiwa! hujasoma huna kazi...Ni kweli but not for long, in the long run kusoma kwako hakukusaidii kutengeneza long lasting relationship (else ungeolewa na lecture) na wanawake mnapokosea (japo si wote) ni kufikiri mwanaume anafuata elimu yako, unajidanganya, mwanaume anafuata peace, respect and making a family, the moment akikosa hata kimoja nisuala la muda atahama