Nishaurini Ndugu zangu juu ya huyu mwanamke

Mimi ni mwanaume wa miaka 27, nina mchumba tuliyedumu miaka 3 sasa kuanzia 2021 tulipomaliza chuo pamoja na mpaka sasa tunaishi pamoja

Nafanya kazi Kampuni ya mawasiliano na yeye anasoma masters huku akifanya kazi Bank moja hapa jijini. Wakati tunaanza mahusiano kila mmoja alikuwa wazi kuhusu historia yake ya mahusiano ambapo mimi hapo awali niliwahi kuwa na mpenzi mmoja tu ila yeye aliwahi kuwa nao watatu. Tulikubaliana kwa pamoja mwaka huu 2024 nikafanye utambulisho kwao then swala la mahari lifate

Mara nyingi nakuta message za mapenz kwny simu yake kutoka kwa wapenzi wanaume wa zamani ila alikuwa mwepesi kuomba msamaha na kukiri kuacha na anasema hana mpango nao ni mawasiliano tu. Lakini hakuacha tabia hii alifuta majina zikaonekana namba tu na yupo makini sn na sim yake hata bafuni alikuwa anaenda nayo.

Pamoja na hayo alichojibu baada ya kumtaka kumfahamu anawasiliana na nani ni hiki:
1. Huna haja ya kufaham marafiki zangu
2. Huyu nilianza nae mahusiano kabla yako
3. Nina uwezo wa kuwa hata na wanaume 10 ni maisha yangu.

Naumia sana wandugu sijui la kufanya, ameomba msamaha kuwa ni shetani tu kampitia. Nishaurini ndugu zangu nifanye nini
Kijana miaka ishirini na saba ni mingi..sasa anza kuwa mwanaume..toka huko kwenye uvulana ulipo sasa. Fanya maamuzi hamna mtu hapo anakumanipulate tu na ugonjwa huo tiba yake ni uhuru wake tu..
 
Ila mzee pamoja na shauri zote zilizotolewa huko juu, mimi ushaur wangu ni mmoja tu, AKILI YA KUAMBIWA CHANGANYA NA YAKWAKO. sikushauri kumwacha huyo mpenzi wako ila je kama ukimuacha leo then huyo utakayempata atakuwa na unafuu kuliko huyu? Katika dunia ya leo kupata mwanamke ambaye hana dosari kama hizo ni nadra sana. Chamsingi ni kukaa na mwenzio na kuangalia shida iko wapi namna ya kuitatua ili maisha yaendelee.
1-3 Umeona sare apo bado Demu anamzidi msela
 
Hayo majibu nimesoma mpaka nimepandisha hasira hapa, imagine mimi sio mpenzi nina hasira kama hivi then wewe bado nampenda namoenda.

Una ujinga
 
Ukiwa na kazi na umesoma mpaka raha. Yani mwanaume unamfanya unavotaka mpaka anakuja jf kuomba ushauri mana wewe ni wife wa ndoto. Daah nimelia sana.
Ni kweli but not for long, in the long run kusoma kwako hakukusaidii kutengeneza long lasting relationship (else ungeolewa na lecture) na wanawake mnapokosea (japo si wote) ni kufikiri mwanaume anafuata elimu yako, unajidanganya, mwanaume anafuata peace, respect and making a family, the moment akikosa hata kimoja nisuala la muda atahama
 
Demu anakujibu hivyo na wewe upo tuu? Hapa ilitakiwa utupe mrejesho kuwa ushaachana nae unatupa way foward sio kuomba ushauri ufanyaje, kuna madem kibao mtaan bro achana na iyo takataka fasta
 
hivi kumbe bado watu mna ulizana umelala na wangapi dadekii

By the way ogopa sana mwanamke mwenye kazi tena mnae karibiana kipato .huna utacho mfanya kaa ulie apo yaki kushinda sepa kimya kimya
 
1.Mwanamke anaficha ficha simu unaanzaje kumpa trust yako?

2.Unakuta anachat na madume unam confront anafuta majina anabakisha namba tu. Anendelea na usengemaji wake na kukujia juu.

Huitaji degree kutambua kwamba ni muda wa kufungasha virago😁
Ukizingatia mbususu zipo kibaoooo
 
Mimi ni mwanaume wa miaka 27, nina mchumba tuliyedumu miaka 3 sasa kuanzia 2021 tulipomaliza chuo pamoja na mpaka sasa tunaishi pamoja

Nafanya kazi Kampuni ya mawasiliano na yeye anasoma masters huku akifanya kazi Bank moja hapa jijini. Wakati tunaanza mahusiano kila mmoja alikuwa wazi kuhusu historia yake ya mahusiano ambapo mimi hapo awali niliwahi kuwa na mpenzi mmoja tu ila yeye aliwahi kuwa nao watatu. Tulikubaliana kwa pamoja mwaka huu 2024 nikafanye utambulisho kwao then swala la mahari lifate

Mara nyingi nakuta message za mapenz kwny simu yake kutoka kwa wapenzi wanaume wa zamani ila alikuwa mwepesi kuomba msamaha na kukiri kuacha na anasema hana mpango nao ni mawasiliano tu. Lakini hakuacha tabia hii alifuta majina zikaonekana namba tu na yupo makini sn na sim yake hata bafuni alikuwa anaenda nayo.

Pamoja na hayo alichojibu baada ya kumtaka kumfahamu anawasiliana na nani ni hiki:
1. Huna haja ya kufaham marafiki zangu
2. Huyu nilianza nae mahusiano kabla yako
3. Nina uwezo wa kuwa hata na wanaume 10 ni maisha yangu.

Naumia sana wandugu sijui la kufanya, ameomba msamaha kuwa ni shetani tu kampitia. Nishaurini ndugu zangu nifanye nini
HAFAI.Uzi ufungwe
 
Mimi ni mwanaume wa miaka 27, nina mchumba tuliyedumu miaka 3 sasa kuanzia 2021 tulipomaliza chuo pamoja na mpaka sasa tunaishi pamoja

Nafanya kazi Kampuni ya mawasiliano na yeye anasoma masters huku akifanya kazi Bank moja hapa jijini. Wakati tunaanza mahusiano kila mmoja alikuwa wazi kuhusu historia yake ya mahusiano ambapo mimi hapo awali niliwahi kuwa na mpenzi mmoja tu ila yeye aliwahi kuwa nao watatu. Tulikubaliana kwa pamoja mwaka huu 2024 nikafanye utambulisho kwao then swala la mahari lifate

Mara nyingi nakuta message za mapenz kwny simu yake kutoka kwa wapenzi wanaume wa zamani ila alikuwa mwepesi kuomba msamaha na kukiri kuacha na anasema hana mpango nao ni mawasiliano tu. Lakini hakuacha tabia hii alifuta majina zikaonekana namba tu na yupo makini sn na sim yake hata bafuni alikuwa anaenda nayo.

Pamoja na hayo alichojibu baada ya kumtaka kumfahamu anawasiliana na nani ni hiki:
1. Huna haja ya kufaham marafiki zangu
2. Huyu nilianza nae mahusiano kabla yako
3. Nina uwezo wa kuwa hata na wanaume 10 ni maisha yangu.

Naumia sana wandugu sijui la kufanya, ameomba msamaha kuwa ni shetani tu kampitia. Nishaurini ndugu zangu nifanye nini
Hakuna mwanamke wa kuoa hapo achana nae
 
3. Nina uwezo wa kuwa hata na wanaume 10 ni maisha yangu.

Jombaa, Jiheshimu. Don’t be a sucker. Just pump and go.

1710065751117.png
 
Ni kweli but not for long, in the long run kusoma kwako hakukusaidii kutengeneza long lasting relationship (else ungeolewa na lecture) na wanawake mnapokosea (japo si wote) ni kufikiri mwanaume anafuata elimu yako, unajidanganya, mwanaume anafuata peace, respect and making a family, the moment akikosa hata kimoja nisuala la muda atahama
hivi kuna watu tunanyenyekea na heshima kama sisi tusiosoma?ila unaonekana kuna kitu umepungukiwa! hujasoma huna kazi...

ila angalia mjamaa hapo analialia unadhani dada etu angekua jobless afu hajasoma angemlilia? angemuacha akaja na uzi kuwa mwanamke hafadhiliki
 
Back
Top Bottom