Habari zenu jmn! Nataka kujua Kama Kuna sheria, regulations au rules zozote zinazogovern au kutoa muongozo wa In Vitro Fertilization (IVF) hapa Tanzania.
Mimi nilisoma certificate na Diploma ya law,,,
Sasa katika kuaply niliattach cheti cha diploma nta level 6 ambapo sikuona sehemi ya kuweka cheti cha certificate...
Kuna MTU ananiambia ile FTC niweke cheti cha certificate in law
Ndo Niko njia panda niache tu kile kile cha diploma au nikiweke...
Habari zenu wana JF wenzangu,
Mimi nilifanya application 28 may kupitia NACTE, ila sikukamilisha application coz kuna vyuo vilikuwa havionekani so nikaenda NACTE nikaambiwa nisubiri TCU watatupa muongozo baadae baada ya majadiliano yao kumalizika.
Sasa naona TCU wameshafungua nasioni muongoza...
Habari zenu wanajf,,,
Mimi mwenzenu ninakama wiki na kitu sasa nimekuwa nikiishi kwa hofu na woga sana,, nashindwa hata kuelewa in kwanini
Naombeni ushauri jamani namna ya kuishinda hii hali...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.