Wakuu naomba kujuza. kume kuwa na kawaida kwa waajiri kupuuzia summos wanazopewa kuhudhulia usuruhishi CMA hivi sheria inasemaje kwenye hili naomba kujuzwa.
Wakuu,
Unawezaje kurudisha pesa ulioituma kwa wakala kimakosa na wakala amekwisha itoa.
Nimewasiliana na customers care ila naona kama msaada unakua mgumu. Kwani wanasema hawawezi kuirudisha mpaka wakala awe na pesa.
Ukiacha VETA ni wapi kuna driving school nzuri na nafuu? Kwa maeneo ya Kinondoni, Magomeni na Sinza. Kuna dogo kamaliza form 4 japo akajifunze kwa mwez mmoja.
Kuna mwenye uzoefu na mazda demio generation, 2 ya 2005, napenda kujua uimara wake hapa bongo na upatikanaji wa vifaa. Pia gharama zake kuitoa bandarini. Ina 1.3L, CIF $2000
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.