Leo azam mpaka muda huu wameshinfwa kutangaza taarifa ya habari baafa ya kila taarifa wanayoitangazangaza wanashindwa kuiunganisha nayo,hawa jamaa ni hovyo kabisa pamoja na uwekezaji wao mkubwa kiasi hicho
Uwe ni mdada,au mkaka,uwe na mchumba na unasita kuamua,kuoa au kuolewa,sikia usisite,amua haraka na iwapo unataka ushauri njoo inbox.Na iwapo huna mchumba na unahitaji msaada,pia usisite kuomba kwangu ushauri,nitakuongoza vizuri sana chini ya usimamizi wa Mungu ili uoe au uolewe na utapata...
Ndio, wewe mwanamke ukiwa tayari kuolewa, toka nje umtafute mumeo, usikae ndani kumsubiri, mfate huko nje. Mumeo hutampata ndani, toka nenda kanisani kusali, nenda msikitikini, nenda kwenye mihadhara ya kila aina ya kidini, kisiasa, makongamano, kwenye michezo mbalimbali.
Ongea na rafiki zako...
Ewe mwanamke sikia hii, siri za mmeo ziweke kibindoni, kwamba ni malaya sana, unamfumania siku zote, kwamba kitandani ni dhaifu, kwamba ni muongo, kwamba huwa anajinyea hovyo, kwamba hana kazi ya maana, kwamba kipato chake kidogo, na dosari zingine zozote, usizitoe nje.
Kaa na mmeo, ongea nae...
Kama kuna mdau anaelewa, hivi huyo Okra mchezaji wa Yanga yuko wapi? Haonekani kwenye benchi na haonekani jukwaani na hakuna maelezo iwapo ni majeruhi, yuko wapi?
Nyinyi Azam hivi mna shida gani, kila mnapotuunga na programu mbashara, sauti huwa haitoki au inakatika katika na hii ni kila siku, kila programu itokayo kila mkoa au mji, hamuoni aibu?
Wanandoa nyie ni mawakala wa Mungu,zaeni watoto,muwalee vizuri ili nao waje kuzaa na kuanzisha familia zao.Iki mtimize wajibu huo,acheni migogoro midogo midogo mara,mje kafanya hivi,mara mume kafanya vile,hiyo ni akili ndogo.Maisha yenu ni yenu nyie 2 tu,hakuna haja ya kushirikisha...
Ukiacha matangazo ya mpira,matangazo mbashara ya taarifa za habari,ama adhuhuri au alaasiri ni mbaya sana,picha mbaya sauti mbaya,hebu tafuteni ufumbuzi wa hili
Hayupo na hatakuwepo kwenye mechi baina ya singida foutain gate na yanga,kisa? malipo maana boss wa timu hayupo,yupo nje ya nchi.
---
Baada ya kuiongoza Singida Fountain Gate FC kwenye michezo miwili, Kocha Jamhuri Kihwelu ‘Julio’ ameondoka kwenye kikosi hicho ambacho maskani yake kwa sasa ni...
luambano wa clouds fm jana usiku,kwenye kipindi chao cha michezo,kasema simba shida zote zinaletwa na mo,hivyo wanachama wameambiwa waamka wamtake mo ama atoe hela au awaachie timu yao
awe mwanamke popote ulipo kaa ufurahi kuzaliwa mwanamke.wewe ni kiumbe muhimu sana kwa mwanaume,umbo lako,sura yako,sauti yako vyote ni alama ya urembo na umuhimu wako.jitunze,jilinde na jiweke tayari kukutana na mwanaume muoane na muanze kujenga familia
Msipumbazwe na watu wa kataa ndoa, wengi ni waongo sana,pia msiogope changamoto za maisha ya ndoa,hizo zipo tu.
Kwenu ambao hamjaoa au kuolewa, fanyeni juhudi muoane na mimi nipo kuwasaidia mkamilishe sakramenti muhimu ya ndoa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.