fimboyaasali
JF-Expert Member
- Jan 14, 2011
- 8,575
- 8,138
Kibu anaidengulia Simba kusaini kandarasi nyingine hapo wanambembeleza sana, Kibu aelewe Simba ni kubwa kuliko yeye.
Bado hamjasemakibu anaidengulia simba kusaini kandarasi nyingine hapo wanambembeleza sana,kibu aelewe simba ni kubwa kuliko yeye
Yanga akipata nafasi amsajiliVipi ikitokea Wananchi wakamkwapua? Hamuogopi? Mlambeni tu miguu. Maana hakuna namna nuingine.
Huyo jamaa ni mwamba sana tu. Anahitaji marekebisho kidogo tu. Hivyo msimchukulie poa.
HahahahahaYanga akipata nafasi amsajili
Wanambelezaje mtu ambaye hata akibaki na goalkeeper hawezi kufunga?kibu anaidengulia simba kusaini kandarasi nyingine hapo wanambembeleza sana,kibu aelewe simba ni kubwa kuliko yeye
Kuna ukubwa wa Simba na maslahi binafsi......kibu anaidengulia simba kusaini kandarasi nyingine hapo wanambembeleza sana,kibu aelewe simba ni kubwa kuliko yeye
sawa ni bora awaambie kuwa sitasaini sio mara hivi mara vileanataka kutafuta changamoto sehemu nyingine
yanga hatumuhitaji,tunajua anasaini azamYanga akipata nafasi amsajili
ndio hivyo wao wanambembeleza sanaWanambelezaje mtu ambaye hata akibaki na goalkeeper hawezi kufunga?
ni sawa aende nachosema awaambie waziwazi sio kuwazungusha,mara niitieni kaka yangu,wakimleta anadai apewe pesa zaidi,wakimpa anakataa,hio sio sawa awajibu kuwa hatasaini kama hatakiKuna ukubwa wa Simba na maslahi binafsi......
Acha aangalie pesa,,unataka aje kuwa kama Haruna Moshi 'Bobani'???
kama anaringa aende ni papatupapatuVipi ikitokea Wananchi wakamkwapua? Hamuogopi? Mlambeni tu miguu. Maana hakuna namna nuingine.
Huyo jamaa ni mwamba sana tu. Anahitaji marekebisho kidogo tu. Hivyo msimchukulie poa.
Naunga mkono hojasawa ni bora awaambie kuwa sitasaini sio mara hivi mara vile
Nadhani ni muda sahihi wa yeye kupata pesa nzuri, huwa tunawachukulia poa sana wachezaji wetu wazawa kwenye maslahi na kuwapa pesa nyingi hawa wakigeni, as long as anafika mazoezini anacheza mechi basi acha awatikise kidogo ili wamboreshee maslahi yake, football ni kazi ya muda mfupi sanakibu anaidengulia simba kusaini kandarasi nyingine hapo wanambembeleza sana,kibu aelewe simba ni kubwa kuliko yeye
Kwanini huna mnakuwa na mambo ya kipuuzi sana mashabiki wa soka Tz?!! Mpira ni maisha na sio sifa, yaani aache kutafuta kwenye mafao mazuri eti abaki simba tu?!! Acheni hizo,kibu anaidengulia simba kusaini kandarasi nyingine hapo wanambembeleza sana,kibu aelewe simba ni kubwa kuliko yeye