1979Magufuli
JF-Expert Member
- Feb 20, 2023
- 453
- 1,797
Lile kundi la wahuni ambalo liko nje ya mfumo ndani ya klabu ya mnyama ambalo limesababisha uongozi ushindwe kufikia malengo kwa kuharibu mipango na mikakati yote ya uongozi wa Simba limeanza usanii, utapeli, hadaa na wizi waziwazi.
Wao ndio walimleta Kibu ndani ya Simba na kwa vile Kibu ameuwasha ksawa sawa na kiukweli yuko on fire wamekaa naye na kumwambia wewe ni hela, usikubali kusaini kizembe, umri haukusubiri we usisaini tusubirie sie tutakuongoza, hapa lazima tutoboe.
Wamempandisha Kibu thamani na kudai anatakiwa Yanga au Azam, halaf waandishi wale wale wanaotumiwa ndio wameanzisha dili.
Ndio maana Mhindi anaingia na kutoka.
Wao ndio walimleta Kibu ndani ya Simba na kwa vile Kibu ameuwasha ksawa sawa na kiukweli yuko on fire wamekaa naye na kumwambia wewe ni hela, usikubali kusaini kizembe, umri haukusubiri we usisaini tusubirie sie tutakuongoza, hapa lazima tutoboe.
Wamempandisha Kibu thamani na kudai anatakiwa Yanga au Azam, halaf waandishi wale wale wanaotumiwa ndio wameanzisha dili.
Ndio maana Mhindi anaingia na kutoka.