Habarini wandugu,
Nimekaa nimewaza kuhusu haya makanganyiko yanayoendelea kuhusu hii kodi mpya,
Wengi tumejikita kuuliza kuhusu wapangaji kumlipia mwenye Nyumba basi.
Binafsi naona kuna shida au uonevu sehemu nyingine ambayo tunaisahau kuiulizia.
Nyumba nyingi za pembezoni mwa mijini nina...
Nipo zangu feri kwenye kivuko cha Magogoni narudi nyumbani saa 7 mchana huu.
Kichwa hakiko Sawa maana “mchongo” niliofata town umebuma hivyo nikajiwazia zangu heri nirudi mapema nikacheze na watoto wangu tu atleast.
Mar pah macho yangu yanavutwa kutazama kundi la wauza madafu wengi wakiwa...
Habarini wana jamvi, habarini za siku nyingi.
Jioni ya leo nilikuwa nafatilia vipindi kadhaa kwenye televisheni baada ya kurudi kazini mapema, hakuna mipira (hata mfuko pia hauko vizuri) [emoji23]
Station ya "Discovery family" (channel yangu pendwa baada ya super-sport) kuna kipindi kimoja...
Habari wana jukwaa,
Nina mpango Easter (Pasaka) hii nitembelee mbuga ya Saadani National Park.
Naomba nijue gharama kwa wahusika kwa member yeyote wa humu aliyewahi kwenda kiingilio, chakula, malazi na usafiri.
Kama wanaruhusu gari private nina gari hizi nisaidieni ambayo inaweza kubaliwa...
Naenda moja kwa moja kwenye mada yangu,
Kutokana na maelezo ya mkuu wa mkoa Leo katika kipindi cha MBIVU NA MBICHI Rc wetu huo (jina mnalijua) amekiri kuwa hawa jamaa au pale ndani palikuwa ndo nyumbani kwake,
Alikuwa anauwezo wa kugombana na watu huko nje akaja akakimbilia hapo mama...
Habari za asubuhi wapendwa,
Poleni na mvua na majukumu ya leo
Natumai mpo salama kabisa,
Poleni kwa watakaosombwa na maji siku ya leo.
Naomba nilete mada mezani kama ifuatavyo:
Mimi ni muanglikana siwezi sema ni safi moja kwa moja maana siendi kanisani mara kwa mara ila naamini katika...
SERIKALI imewataka wamiliki wa ardhi kuhakikisha wanalipia kodi ya pango la ardhi kwa wakati ili kuepuka kunyang’anywa umiliki wa ardhi zao.
Hayo yalisemwa na Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano katika Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi, Mboza Lwandiko, wakati akizungumza na waandishi...
Chumba kidogo kinachofunika kaburi ambako inaaminika Yesu Kristo alizikwa kimefunguliwa rasmi tena baada ya kufanyiwa ukarabati kwa miezi tisa.
Chumba hicho ambacho kinapatikana katika Kanisa la Kaburi la Yesu Kristo katika maeneo ya mji wa zamani wa Jerusalem kilikuwa kimekuwa dhaifu sana...
Asante bibie mange kwa kutatua fumbo hili ni ukweli uliodhahiri kabisa kwamba asilimia 80 ya watanzania walikuwa hawamjui huyu jamaa wakiongozwa na mm ila kwa utashi wako mangekimambi hii issue umeimaliza tunasubiri maelezo kumuhusu huyu jamaa,
Wakati serikali ikiimarisha mapambano dhidi ya matumizi na biashara ya dawa za kulevya,
Watu wenye imani za kirastari, ambao hutumia bangi katika ibada zao kama sakramenti, wamesema aina hiyo ya kilevi si mihadarati.
"Bangi ni sakramenti kwa Rastafari, kama diavi katika makanisa ya kikristo...
Jengo la Water front pembezoni mwa bandari ya Dar inawaka moto muda huu ikumbukwe ni mara ya pili hili jengo kupatwa na ajali hii.
Jeshi la polisi kikosi cha usalama barabarani jijini Dar es Salaam limefunga kwa muda barabara ya Sokoine kufuatia jengo la Water Front kuwaka moto. Wamefanya ili...
Hatimae kile tukichokuwa tunakitamani kama taifa kitokee now kimetimia ni furaha kwa taifa zima,
series inaitwa SIX ni drama ya mwaka huu ndo kwanza imetoka mwaka huu episode ya kwanza, kwa kumbukumbu yangu hii itakuwa ya pili japo ile THE A-TEAM waliongea kiswahili tu then jamaa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.