Search results

  1. M

    Sheria Mpya ya Reli inakuja

    Kuna mchakato umeanza wa kutunga sheria mpya ya reli/au kuhuisha iliyopo ili "kuendana na wakati".... Kwa kiasi kukubwa huenda lengo la sheria hii ni kuwezesha "wawekezaji" kujinufaisha na SGR. Je, kama taifa, tuko tayari kwa sasa kuruhusu watu binafsi kumiliki treni ambazo zitatumia reli ya...
  2. M

    Ufunuo wa Godbless Lema

    Hapo mwanzo niliona mtu mwenye cheo aketiye barazani, aliyeamuru nani aongee na nani aketi chini. Nikaambiwa mtu huyu hatendi kama ilivyopaswa. Nikapewa ujumbe nimuonye mtu huyu kabla ya anguko lake, naye hakunisikia akajiendea na shauri lake. Baada ya miaka mitatu ya utawala wake, na baada ya...
  3. M

    DOKEZO Hiki ni Kituo Bubu cha Polisi?

    Ukiwa unatokea Masaki, kwenye makutano ya barabara za Haile Selassie na Ali Hassan Mwinyi, jirani na Kanisa la Mt. Petro, Oysterbay, Dar es Salaam, pana taa za kuongozea magari. Kwa pembeni, pana kibanda ambacho hutumiwa na askari wa usalama barabarani kujikinga na jua. Sasa, kwa muda mrefu...
  4. M

    Heri Rais Magufuli kaliona hili na kubadilisha majina ya baadhi ya Wizara

    Nafahamu sasa kuwa Wizara ya Mambo ya Nje, Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Kimataifa na Kikanda iliyokuwa na jina refu bila sababu sasa imerejeshewa jina lake kuwa "Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki." Pia sasa tuna "Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia" badala ya...
  5. M

    Ni kweli CHADEMA imewatosa watu wake?

    Kuna mtu aliwahi kuweka uzi humu akidai kuwa CHADEMA haiwasaidii wanachama wake wenye kesi za uchaguzi (wabunge na madiwani). Nilitaka kuamini kuwa uzi ule haukuwa sahihi. Leo nimeshtuka kusikia kuwa Joseph Fuime aliyemshtaki Leonidas Gama (Songea) kupinga matokeo ya ubunge akilalamika kuwa...
  6. M

    Dr. Ryoba bado unajipanga TBC?

    Naamini Watanzania wengi hawaridhishwi na utangazaji wa TBC, na baadhi yetu tuliposikia kuwa Dr Ayoub Ryoba ameteuliwa kuwa Mkurugenzi wa Shirika hili tukafufua matumaini yetu kwa chombo hiki. Sasa ni muda umepita...je Dr Ryoba bado unajipanga? Ningependa kuona TBC (hasa televisheni) inakuwa ya...
  7. M

    Faida za “Kuhariri Bunge” na “Kuahirisha Sherehe”

    Kumekuwa na mjadala mkubwa juu ya uamuzi wa “sijui Bunge au Serikali” kutoruhusu urushaji wa moja kwa moja wa matangazo ya televisheni ya mkutano wa Bunge unaoendelea mjini Dodoma. Wengi wamelaani na wachache wameunga mkono hatua hiyo, kila upande ukiwa na sababu zake. Kadhalika, kumekuwa na...
  8. M

    Waziri Mkuu na mbao za madawati: tusije ongeza tatizo

    Waziri Mkuu na mbao za madawati: Tusije ongeza fursa za rushwa Katika hotuba yake ya bajeti, Waziri Mkuu ameagiza kuwa kuanzia sasa mbao zinazokamatwa (vijijini/na halmashauri/maliasili) zisiuzwe bali zitumike kutengeneza madawati mara moja. Nimepata maswali kadhaa juu ya mapendekezo haya na...
  9. M

    Magufuli alikuwa sahihi kuhusu mabwawa?

    Wakati wa kampeni za uchaguzi mkuu mwaka jana, aliyekuwa mgombea wa CCM ambaye kwa sasa ni rais, John Pombe Magufuli aliwahi kutamka kuwa kuna watumishi wa TANESCO kwenye mabwawa ya kuzalisha umeme ambao hufanya njama kufungulia maji yatoke bwawani na hivyo kufanya mabwawa yasiwe na kina...
  10. M

    Jamhuri na Sakata la Kodi TBL

    Kwa majuma kadhaa gazeti la Jamhuri, Wanaanzia Wengine Wanapoishia, limekuwa likiripoti habari juu ya tuhuma za Kampuni ya Bia Tanzania, TBL, kufanya udanganyifu kwa lengo la kukwepa kodi. Sijabahatika kupata nakala hata moja ya gazeti hilo, na niombe kwa mwenye uwezo, hususan Manyerere Jackton...
  11. M

    Wako wapi hawa?

    Jason Borne na Chabruma, where are you? Nimemiss sana stori zenu...
  12. M

    Video ya Hotuba ya Magufuli kwenye uzinduzi wa daraja

    Wana JF, Kwa heshima na taadhima naomba mtu mwenye uwezo wa kuweka hapa jamvini hotuba yote ya Rais JPM wakati akizindua daraja la "Nyerere" Kigamboni afanye hivyo... Wakatabahu...
  13. M

    Tanzanian Video Queens

    Napataje contacts za Aisha Salum aka Kidoa? Alitokea kwenye Akadumba ya Ney wa Mitego
  14. M

    Baada ya Machi 23, ADF tumefikia wapi?

    Hivi karibuni majeshi yetu kule DRC, chini ya mwavuli wa UM, yalianza rasmi, kwa mara ya pili, mapambano dhidi ya kikundi cha ADF. Mashambulizi hayo yameanza siku chache baada ya tarehe 23 Machi, ambayo ni tarehe lile kundi la M23 lilianzishwa. Hata hivyo, M23 walisambaratishwa miezi kadhaa...
  15. M

    Dar Inahitaji Master Plan au Planning Scheme Mpya

    Wengi tunakubaliana kuwa Dar inakabiliwa na changamoto nyingi za mji. Ukosefu wa huduma na miundombinu muhimu ya taka ngumu na maji taka; usafiri; bustani na viwanja vya michezo; ujenzi holela; ukosefu wa maeneo ya makaburi na changamoto nyingine kadha wa kadha. Baadhi yetu tunaunga mkono...
  16. M

    JK akutana na JPM Ikulu

    Kwa mara nyingine rais mstaafu JK amekutana na rais JPM ikulu jijini leo. Hints: Mgogoro wa Zanzibar Majipu makubwa (kutaka ufafanuzi wa masuala tete na majipu tete) Uenyekiti wa CCM
  17. M

    Tumekosa maadili. Tujisahihishe

    Ukiangalia kwa juu juu unaweza ukadhani kama taifa tuko sawa. Wengine wanaona ndiyo uhuru na demokrasia. Mimi naona tunaelekea kubaya kama hatujafika pabaya! Taratibu tunaanza kuwa taifa la watu wanaoshabikia vurugu. Watu wanajichukulia sheria mkononi. Wanafunga barabara na kuharibu mali za...
  18. M

    Marando na Kingunge wako wapi?

    Mara ya mwisho nilimskia Marando akienda kutibiwa India.. Mzee Kingunge sijamsikia muda mrefu sana... Wanaofahamu tafadhali tupeane habari
  19. M

    Mkinga ateuliwe mjumbe Bodi ya Bandari

    Ninashauri Waziri mwenye dhamana na TPA (Prof Mbarawa) atakapoteua Bodi ya TPA basi asimsahau Bw Renatus Mkinga, kwani ndugu huyu ana uelewa mkubwa juu ya shughuli za bandari na huwa hamung'unyi maneno inapokuja suala la kutetea taifa.
  20. M

    Rais Magufuli kwenda kumsalimia Sumaye si habari kubwa?

    Jana (16 Januari 2016) nilibahatika kutazama kipindi cha "Jicho Ndani ya Habari" kinachorushwa na Star TV kila Jumamosi asubuhi. Kama ada kipindi kiliendeshwa na Doto Bulendu, akiwa na wageni/wachambuzi Mathew Moses na Juma Mdimi ambao ni waandishi wa habari. Kama ilivyo kawaida, kipindi hiki...
Back
Top Bottom