Search results

  1. N

    Dk Shoo na aliyekuwa Mpinzani wamenuniana tokea jana usiku

    K.K.K.T. au Evangelical Lutheran Church in Tanzania (ELCT) ni kanisa linalojua linachokifanya. Halipelekwi pelekwi na Mrengo wa kisiasa wala halina njaa ya chakula. Linasimamia kweli ya neno la Mungu katika jina la Yesu Kristo aliye hai. Lina Dira na malengo yake. Kama unaijua Lugha soma hapa...
  2. N

    James Mbatia kumtuhumu Rais Magufuli kwa Ukanda: Anamlinganisha na nani?

    Naona umesahau hesabu za propotionality!!!
  3. N

    Kustaafu kwa Kinana ni funzo kubwa kwa wanasiasa ndani na nje ya nchi

    Mh! Kastaafu kwa hiari au kwamba umri haumruhusu tena?
  4. N

    Ushauri kwa Waziri, Naibu na Katibu Wizara ya Kilimo

    Kwa hiyo unataka kusema Rais alikuwa anaigiza eh!!!
  5. N

    Viongozi wa dini wapo salama? Mchungaji Fredy Njama, akamatwa kwa ‘Uchochezi wa Kisiasa’

    Na Mara nyingi matokeo ya kusema ukweli huwa hayafurahishi. Soma kisa hiki cha Yohana Mbatizaji kama ilivyoandika katika Injili ya Mathayo 14: 1-11 , "14 Wakati huo, mfalme Herode alisikia habari za Yesu; 2 akawaam bia watumishi wake, “Huyu ni Yohana Mbatizaji, amefufuka kutoka kwa wafu; ndio...
  6. N

    Mil 10 kwa siku kuna harufu ya ufisadi na upigaji

    Kwani Tanzania ilitoa hela? Kalalamikie hela za Tanzania zinazolipwa kwa makampuni ya kufua umeme!
  7. N

    Zitto: Hivi suala la Bombadier ni siri? Hivi hamtaki tujue? Hamtaki tuhoji juu ya kodi zetu? Serikali lazima iulizwe

    Ni wajibu wa Serikali kutunza Siri zake. Je, Zitto au Lissu wana usiri gani na Serikali? Je, Ukiona siri za serikali zimefikia vyama vya upinzani ujie hilo jambo sii siri tena.
  8. N

    Tumuamini Nani, Chadema Au Zitto Kabwe?

    Hamna hoja ila kuna composition inayoonyesha the real picture of the composer
  9. N

    Huyu ofisa wa udahili TCU, Fabian Mahundu anapotosha umma kwa maslahi ya nani?

    Ilitakiwa TCU itoe masharti ya udahili. Yenyewe ndiyo inasimamia ubora. Imeamua kukaa kimya ili udahili huu unaoanza kufanyika sasa ulete usumbufu ili warudishiwe.
  10. N

    Huyu ofisa wa udahili TCU, Fabian Mahundu anapotosha umma kwa maslahi ya nani?

    TCU ilifanya vizuri sana kuharmonise. Ilipunguza kwa kiasi kikubwa application fees ambayo ninaona sasa mwanafunzi atatumia mpaka laki 3 kufanya application. Hata hivyo TCU kama chombo cha usimamizi kinachofanya monitoring and Evaluation ya vyuo, haikutakiwa kufanya hii kazi. Maana kuna vyuo...
  11. N

    Huyu ofisa wa udahili TCU, Fabian Mahundu anapotosha umma kwa maslahi ya nani?

    Kwa nini atafutiwe? Kama huyo mtu anatafutiwa chuo basi hatavuka mwaka wa kwanza. Anaonekana ni immature na mentally incapable. Unatafutiwa chuo? Rushwa zingine tunaziombea wenyewe.
  12. N

    Paul Makonda: Haitafika Jumapili kabla hatujampata Roma na wenzake wanne

    Mods Please hii post inakiuka maazimio ya jukwaa la wahariri.
  13. N

    Bandarini Dar: Rais Magufuli akamata kontena lenye magari 3 na Makontena 20 yenye Mchanga wa Madini

    Ha ha haaa! Singo aliyotoa Nape leo haitazimwa na visingosingo vya kawaida. Imehit Mbayaaaaaaa! Itazimwa tu na Singo itakayomtumbua Bashite. Hizo nyingine tumeshazizoea na wala hazichezeki.
  14. N

    Sakata la kuuawa kwa Faru John lachukua sura mpya. Watumishi watano watiwa mbaroni

    John oooh John eeeh, Looking for my Johnie!!!!
  15. N

    Mwigulu aduwazwa na wananchi kujifungia wakiogopa Panya Rodi

    Ha ha haaaa! Wanaume wa Dar es Salaam walikuwa wanaponda raha kwa mahela ya kuchota serikalini. Sasa hiyo fursa haipo tena. Hivyo wako tayari sasa kulinda walicho nacho.
  16. N

    Marekebisho ya sheria ya Loan Board hayalengi kumaliza tatizo la ukusanyaji wa madeni

    Wanajamii, Nimeona marekebisho yanayotaka kufanywa kwenye sheria ya loan Board. Kwa maoni yangu marekebisho haya hayana nia ya kuwasaidia wanafunzi kama ilivyokusudiwa toka awali. Kwa mfano kipengele kinachopendekezwa kinachosema kuwa mnufaika ataanza kulipa deni lake mara atakapomaliza au...
  17. N

    Prof. Ndalichako awatupia lawama Bodi ya Mikopo kufanya kazi kwa mazoea, arejesha posho ya 8,500

    Tatizo la wizara ya Elimu na serikali kwa ujumla ni kuendelea kuwatumia watendaji waliosababisha tatizo ili kulitatua. Hawa Loan board wanataka kumuhakikishia waziri kuwa walichokuwa wanakifanya kilikuwa sahihi na kuwa ni vigumu kudhibiti wanafunzi hewa. Ndiyo maana kila agizo serikali...
Back
Top Bottom