Mleta mada shikamoo. Its 100% true . Mi nikiwaona nahsi kichefuchefu najaribu kulinganisha na zamani nimelichukia kutoka rohoni.limebaki na kina mwashambya
Nape in short alitakiwa kuwa anapambana na korosho kwa kariba yake. Kwanza hana guts za kumface Mange angemvua bukta hadharani. Pili amemtukana sana Mwamba Magu , Tatu hana kifua cha kumface Antipus kwani huyu kwa sasa ni global figure . na bado kamwita barozi polepole kiroboto ati hiyu nae...
Sikiliza clip kabla yankuropoka. Esta hakukalizia hapo bali aliishauri serikali kuweka mpango mzuri wa ardhi . Wananchi wapangwe ili jifadhi iwe hifadhi na malisho yawe malisho . Tumefikishwa japa na watu kama wewe mnao comment kutafuta teuzi . Mtu kama wewe unamaliza oxygen bure
Preamble : jamaa mmoja ughaibuni alikamatwa na polisi akisingiziwa na mkewe kuwa kampiga. Pamoja na kusingiziwa polisi na mwendesha mashtaka walihakikisha anapelekwa mahakamani japo hakuna ushahidi. Wakati aki deal na polisi kuhusu kesi walimwambia kuwa hata kama hakuna ushahidi ni lazima...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.