Search results

  1. mtoto mdogo

    ULIWAHI KUPOTEZANA NA MTU MLIEKUTANA KWENYE GARI?

    Habari Rafiki, Umewahi kupanda usafiri wa uma kutoka sehemu moja kwenda sehemu nyingine? Kwa bahati nzuri ukakutana na mtu mkazoeana kweli halafu wakati wa kushuka mkapotezana na hukuweza kupata mawasiliano yake? Uzi huu ni sehemu ya kumtafuta. Post kisa chako na JF watatusaidia kuisambaza na...
  2. mtoto mdogo

    Naomba Kupafahamu Bagamoyo

    Hello wakuu za siku, wiki ijayo kwenye siku kuu natamani sana nikatembelee mji wa Bagamoyo. Ni mara yangu ya kwanza hivyo basi mnisaidie nijue gharama zikoje za hotel, beach, vyakula etc
  3. mtoto mdogo

    Nimependwa na mke wa mtu, yuko tayari kuachana na mumewe

    Habarini za Siku Nyingi Kidogo. Nikumbana na hili janga la kupendwa na mke wa mtu yeye anadai hampendi mme wake tena. Yupo tayari kuachana na mmewe tuoane. Wasiwasi wangu ni kwamba nitakuwa natengeneza vita na mwanaume Mwenzangu. Naombeni ushauri wakubwa zangu mliokwisha pita huku. Asanteni.
  4. mtoto mdogo

    Mwanamke kukosa hamu ya tendo

    Habarini wakuu, Leo nimekuja na tatizo jingine naona ni kubwa sana na linaweza kuniharibia mahusiano yangu. Nina mahusiano na binti mmoja ninampenda sana. Nina mpango wa kumuoa ila tatizo ni kwamba ana hali ya kukosa hamu ya tendo la ndoa. Mara zote nilizowahi ku sex nae nikifunga goli moja...
  5. mtoto mdogo

    Hili Nalo ni Tatizo?

    Wakuu Hili ni Tatizo? Nipo Na mpenzi wangu. Hajawahi hata siku moja Kuniomba mchezo Yaani hadi mimi nijisikie ndio niombe,.Nashindwa kumuelewa. Pia anaonekana hana hamu kabisa . Nifanyeje?
  6. mtoto mdogo

    Anadai ninamuumiza wakati wa Tendo

    Habari za Leo wana JF ni muda mrefu umepita sijaandika hapa. Katika harakati za maisha nimekuja kukutana na binti mrembo sana na ninampenda mno. Changamoto niliyonayo ni kwamba wakati tunafanya tendo mara zote nashindwa kujua ni Sehemu ipi hasa inayomfanya ajisikie poa akishikwa. Mara zote...
  7. mtoto mdogo

    Tendo la ndoa ni muhimu katika maisha ya mwanadamu

    Kujamiana (ama tendo la ndoa) ni moja ya mambo muhimu sana katika maisha ya mwanadamu. Ni ukweli usiofichika kwamba wengi wetu tungependa kuwa na mwenza ambaye mnaridhishana katika tendo la ndoa. Si hivyo tu, bali tendo hili huleta maelewano katika uhusiano wowote ule. Lakini, kuna faida zozote...
  8. mtoto mdogo

    What a husband needs from a wife is never sex

    WHAT A HUSBAND NEEDS FROM A WIFE IS NEVER SEX. By: B.I.C. Abeiku Okai. Sex is an important element in marriage and until there is sexual intercourse between a husband and a wife, the marriage is not yet spiritually recognised. This shows how important sex is in marriage. When you look at how...
  9. mtoto mdogo

    Usalama wa data kwenye Google Acounts

    Habari za leo wakuu. Ningependa kufahamu usalama wa data zinazohifadhiwa kwenye Google account kwa watumiaji wa simu za Android. Hawa watu hawawezi kuzitumia vibaya kweli mfano kwa hawa watu wakubwa/viongozi na maarufu?
  10. mtoto mdogo

    Kuanzisha Kampuni: Ni mambo gani ya kuzingatia katika haya?

    Habari. Tigo wanaomba wateja wake radhi kwa tatizo la mtandao lililotokea jana. Tuma message yenye neno BURE kwenda 15304. utapata dk 10 sms bila kikomo na mb 10 za kutua leo tuu.. Changamkia fursa hii.
  11. mtoto mdogo

    Msaada: Mobile application developers

    Naombeni msaada ni software gani nzuri inayohusika kutengenezea hz application za simu mfano hii. JF.
  12. mtoto mdogo

    Wanaume tuheshimiane

    Za jioni wakuu, Mda huu baada ya kutoka viwanjani kwenye Tsunami ya lowassa nilikua na mpenzi wangu mkali kweli sio utani ni mrembo balaa ana umbo zuri mno. Sasa tukapitia sehemu Fulani tupooze makoo yetu baada ya kumshangilia sana Lowasa wakuu tumeingia tuu macho yote ni kwetu si mnajua...
  13. mtoto mdogo

    Inakuwaje napata walionizidi umri?

    Habari za jioni wandugu, Wataalamu nyie wazima, Leo naomba mnishauri inakuwaje napata walionizidi umri tu shida ni nini? Mimi ni mwanaume.
  14. mtoto mdogo

    Hata hawa daah

    Hii ni sahihi
  15. mtoto mdogo

    Tumepishana miaka 5

    Helow friends, Sio mimi nimeagizwa kuwasilisha. Mimi ni mwanaume katika pitapita za maisha nimekutana na dada mmoja tumependana sana dada mwenyewe ni mzuri kila idara. Na ninampenda yeye pia ananipenda. Lililonifanya niombe ushauri ni kwamba kanizidi miaka 5. Nilimwambia kuhusu kumuoa...
  16. mtoto mdogo

    Kanitumia picha zake, nitafungwa na sheria mpya?

    Habarini, Sina mwanamke nampenda sana juzi tuko katika chat whatsap sio kanitumia picha zake zilizokatazwa sheria mpya sasa sijui anajiaminije. Je huo ni upendo wa kweli? Ni kweli ananitumia mimi tu au na wengine pia? Sheria mpya itatubana. Naombeni ushauri
  17. mtoto mdogo

    Nisaidien kuendelea

    Kama mnavyoona ndio nimeishia hapo.
  18. mtoto mdogo

    Mama na mtoto wananipenda nifanyaje?

    Mimi ni msambazaji wa bidhaa kwenye supermarket mbalimbali nipo Arusha. Juzi katika kazi zangu nilipata mteja mpya ambaye ni mama mtu mzma mwenye supermarket yake. Nilimpelekea mzigo baada ya hapo kanikaribisha nyumbani kwake weekend hii. Yeye hajaolewa ila ana watoto wawili binti na mvulana...
  19. mtoto mdogo

    Kaniacha bila sababu

    Habarini za leo, poleni na majukumu. Kuna post nilishaweka hapa inasema "mpenzi wangu hataki nimfuatilie mambo yake", juzi kanitamkia wazi wazi kua hanitaki tena. Kinachoniuma ni kwamba, pesa nilikua nampa. Lakini sijapata chochote kwake, tuliwekeana kua tutasubiriana hadi ndoa. Yani sijui...
Back
Top Bottom