Binafsi sijaelewa point yako hasa ni ipi,kwani pale ITV hakuna sheria za kazi? au huyu Rweyunga ndo mwenye kampuni? na vipi Morogoro upaite ukimbizini? Inaonekana una mengi ya kutuambia tukaelewa lakini unadonoa donoa tu.
Unajua nilipoisikia ile clip ya matusi ya Lusinde nishaanza kuhisi kitu -kwamba hawa jamaa maji ya shingo.Ingawa huyu Lusinde kuna haja ya kushinikiza achukuliwe hatua maana yale matusi kwa kweli hayavumiliki na hayaleti impression nzuri kwenye jamii tunayotaka ibadilike kwa kuwaamini vijana...
Hongera sana makamanda wetu mlioko Arumeru kwa ushindi huu mnono.Hongera makamanda wetu wa Mbeya na Kirumba Mwanza kwa kufanikisha ushindi wa viti vya udiwani.Hongera watanzania wapenda mageuzi hasa wanaJF kwa sala zenu na hatimaye Mungu ametusikia.HAIKUWA RAHISI.Tunajua ilikuwa ni mapambano ya...
eto
Nishatune ITV,Renatus Mutabuzi yuko hewani na matokeo ya kata ya majani ya chai...CDM wanaongeza kwenye vituo vya kata hiyo kwa idadi kubwa ya kura, anasema wazee kadhaa wa CCM wamekamatwa na sanduku la kura 1000 wako police,Mungu atujalie
Kwa mfano mimi leo ndo najua kuwa hilo eneo la ajali ni baya sana,ina maana bila huu mjadala nisingefahamu.So ndugu tuna majonzi lakini yale ya msingi tuyajadili tu ili tuendelee kujiokoa wenyewe maana tukiwategemea wenye mamlaka bado wako likizo ya x mas na mwaka mpya.
Bigirita hata mimi umenikera,muungwana ukikutana na hali kama hiyo vuta pumzi juu alafu ishushe na ujipitie tu hutakuwa umekosea kwani humu JF si kila liulizwalo lina jibu maana wengine wametumwa.Sasa nawe watutoa kwenye msiba kwa matusi yako,jirekebishe.
Natamani sana kujua historia yake,Ali Mafuruki katokea wapi,ujasiriali kauanza lini?maana mi ananikonga sana kwenye vipindi vya Televisheni namna anavyojua kujenga hoja.Mfano,ni kama wiki mbili zimepita kwenye kipindi cha This week persepective cha Adam Simbeye TBC1 wakiongelea shilingi kushuka...
Akaliua Majira na habari za kupika za CCM ili watu wapate urais alafu akakimbilia Jambo leo,mpaka leo gazeti halijatulia linaweweseka tu halina hata mwelekeo.....kisa..huyo jamaa wa Habari leo
We umezaliwa juzi unategemea utamjua Sugu?Ruge,January na Kusaga waliokula chumvi ndo wanamjua ni nani,wewe bado mtoto endelea na akina Mr. Blue wenu,kama hautajali sana tafuta kitu "ana miaka chini ya 18" waweza pata la kuongea kumhusu mheshimiwa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.