Yetu Macho
JF-Expert Member
- Jun 15, 2008
- 224
- 31
Nimapito magumu na yenye huzuni na masikitiko ktk historia ya ukombozi wa taifa letu.
Tumempoteza mpambanaji. Ni mapenzi ya mungu tutakuombea na kukuenzi daima,. Tunaamini kwakua ulilitendea taifa hili na watanzania mema yote mungu atamlipa kadri ya matendo yake.
Wote tu marehemu wtarajiwa. Tuishi katika mungu na kutimiza wajibu wetu.
Tumuenzi Regia kwa kuyaenzi aliyo yaamini. Kufa kwa mpambanaji mmoja kulete dhamira na mwamko wa wapambanaji 100 kuziba pengo na kupigania haki za watanzania wasio na wakuwasemea.
Mapambano aliyoyaanzisha hayatakoma kamwe.. Tutakosa sana taarifa za mikutano,matokea mbali mbali ya chama na maandamano ya chama.
Tunahitaji mbadala
Tumempoteza mpambanaji. Ni mapenzi ya mungu tutakuombea na kukuenzi daima,. Tunaamini kwakua ulilitendea taifa hili na watanzania mema yote mungu atamlipa kadri ya matendo yake.
Wote tu marehemu wtarajiwa. Tuishi katika mungu na kutimiza wajibu wetu.
Tumuenzi Regia kwa kuyaenzi aliyo yaamini. Kufa kwa mpambanaji mmoja kulete dhamira na mwamko wa wapambanaji 100 kuziba pengo na kupigania haki za watanzania wasio na wakuwasemea.
Mapambano aliyoyaanzisha hayatakoma kamwe.. Tutakosa sana taarifa za mikutano,matokea mbali mbali ya chama na maandamano ya chama.
Tunahitaji mbadala