Ni mwezi wa tatu unakatika Mshahara tunausikia kwenye bomba, Tuna hali mbaya sana, kwa mwenendo huu sijui tutafikaje?
Hivi kuna kipengele chochote kwenye sheria za kazi kinaongelea kucheleweshwa Mishahara?
Pascal Mayalla Makofi tafadhali
Mtakaosema nsjitongozesha ni poa tu kwasababu ni haki yangu pia
Mshana Jr worth mention
@mzeemwanakijiji sijui kimemsibu nini kwasasa kuna mijadala mizito kuzidi hasira za kumksribisha Lowasa Chadema lakini mzee kimya sana
Nayamisi mapweinti ya huyu mzee...
Jamani jana nimekunywa biere mpaka saa nane asubuhi. nimeingia ofisini leo saa mbili asubuhi kichwa kinaniuma mpaka saa hii.
Hangover huwa inaisha baada ya muda gani?
Hivi kama katiba ingekuwa inaruhusu JK kugombea misimu mitatu, Angesimama 2015 angechaguliwa?
Just say no or Yes. Halafu FF naomba usiseme Yes ya kinafiki.
Jamani nimepanga safari ya kutoka Dar kwenda Loliondo kwenye shughuli zangu Kikazi.
Kama kuna m2 anataka Kwenda kwa mzee Ambikile mwaisapila namkaribisha kwa Lift. but kamchango ka 100,000 ka mafuta ni highly apreciated.
Naondoka Ijumaa Tarehe 13. asubuhi. siku ya kurudi bado sijapanga...
This thread is dedicated to women in their 30s or 40s especially those that are still single like me lol. Ladies just because you are in yr 30's/40's it does nt mean your life is finished.
Keep your head up gal and put your gear on. Most of us are professionals, beautiful and well...
'This Article from the respected New Scientist magazine and directed to ALL EVERYONE.'
People who have had more than five oral-sex partners in their lifetime are 250% more likely to have throat cancer than those who do not have oral sex, a new study suggests.
The researchers believe this is...
ndege moja ya abiria imepata ajali katika uwanja wa ndege wa Mwalimu Nyerere, ambapo watu kadhaa wamejeruhiwa na kukimbizwa hospitali ya Muhimbili kwa matibabu.
Mwenye Habari zaidi atujuze
Wakuu!
Nilibahatika kufungua Account Na NBC Hapa Dar. Tangu 2002. Mpaka sasa naitumia hii account.
Hivi majuzi nimeingia Mkoani nilikua na shida ya pesa ambazo singeweza kuzitoa kwenye ATM ikabidi niingie Ndani Kwa teller!! Huku nikiwa na statement niliyo itoa kwenye ATM kama Kidhibitisho kuwa...
Hey wanajamii.
Mimi ni msichana mwenye Umri wa miaka 28.
Mhasibu katika shirika moja lisilo la kiserikali hapa Tanzania.
mshahara sio mkubwa sana lakini unakidhi mahitaji yangu.
ninaishi sinza Madukani.
Ninaona umri unazidi kuyoyoma lakini bado sijampata wangu wa maisha.
who ever is ready for a...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.