Kinadada wa TZ Jamani huyu mwenzetu anatutia Aibu!!!

anawatia aibu kivipi na wanao rekodi mikanda ya ngono na wewe ukiwa shabiki namba moja huwaoni?
 
ndugu yangu wewe hujui tulivyotiwa aibu kweli mtoto wa kitz mwenye staha, heshima na mtu wa maadili mema anaweza fanya upuuzi huo na kuweka mtandaoni hadi watoto waone maungo ya wamama , wanawake huoni hiyo ni aibu bestito?

ninyi wanaume mnapenda miili yetu idhalilishwe kiasi hicho mm mwenyewe nimeumia naijiuliza waototo wangu wa kiume niwaweke wapi kwani wataadhirika kisaikolojia kwa kuangalia utupu huo mtandaoni besti
hebu fikiria kuhusu hili hasa watoto wanaharibika wakiwa wadogo hata kupevuka hawapevuka huoni tunateketekea kwa kufuata maadili ya watu wa magharibi leo ukiambiwa kula kinyesi chako nawe utakula kwani unaona ni fashion
anawatia aibu kivipi na wanao rekodi mikanda ya ngono na wewe ukiwa shabiki namba moja huwaoni?
 
dorin nae mbona anatia aibu kwa avatar yake?
 
Last edited by a moderator:
ukiwaza sana juu ya frola lymo na tabia zake utaumwa kichwa na kupoteza muda..ni chizi huyu
 
mhhh jamani........kuna mtu hapa pembeni kanichekesha!!!! ''ati au huyu ni dume kajibadilisha kuwa mwanankeeeee????
mbona mkakamavu hivyoooo???''

een Molla nusuru watoto wetu.............
 
mhhh jamani........kuna mtu hapa pembeni kanichekesha!!!! ''ati au huyu ni dume kajibadilisha kuwa mwanankeeeee????
mbona mkakamavu hivyoooo???''

een Molla nusuru watoto wetu.............

hivi kumbe we ndo Paloma?

wow!
 
Last edited by a moderator:
That is called liberty yani you live as you wish.
Kwani wavaaa vi tyt barabarani kweupw mbona wengi name hawasemwi???
 
Back
Top Bottom