Chawa mkubwa wewe, Nyerere ndiye aliasisi tume isiyo huru,matokeo ya Rais yasipingwe mahakamani. Chama chenye kuongozwa Kwa kurithiwa na Watoto wa waasisi.
Nyerere alitaka Mgombea binafsi,nani anayezuia miaka yote hiyo?
Ndio Mnaachwa na hao Watoto! Mnabakia kula Kwa macho hizo Hela,mpaka wanaume wengine wanakufa Kwa depression kukosa Msaada,,Mke anataka Hela, Watoto,mama yako Mzazi,Baba,Dada zako,wadogo zako!
Watanzania wamesoma, miaka takribani 60 Sasa toka uhuru .sio wajinga kwakuwa ni wakimyaa wanaopenda kushughulikia na mambo yao yasiohusu siasa,japo maisha yenyewe ni siasa.
Ni jambo la Hatari kufikiria mtu aliyekaa kimyaa kuwa ni Mjinga. Watu wanaonufaika pakubwa na chama na Serikali ni familia...
Kuna baadhi ya wanawake wanaenda na kauli mbiu kuwa mwanaume ni wajibu wake kutafuta Hela, yeye kazi yake kutumia.. Hilo janga kwakuwa linapingana na neno la Mungu kuwa asiyefanyakazi na asile. Kila mtu anawajibika kuwa na Mchango katika familia, sio kusubiri kudaka tu. Heshima yako na ndoa...
Biashara, Uchumi na Ujasiriamali
Najuta zaidi ya Tsh. 500m nimezika katika majengo, mtaji wa kufanyia biashara umepungua pa
kubwa sana
Habari wakuu, nawashauri msifanye makosa kama niliyofanya, ukipata pesa wekeza katika biashara na si majengo. Fursa nyingi zimenipita kutokana na mtaji kuwa...
Stock exchange ziko kampuni ambazo Toka ianzishwe hisa zake zinapaa kama TBL,TCC. Kuna security/ Treasury bond, jishughulishe kupata Elimu hizo, utakuja kunishukuru. Mwenyewe niliamini hivyo, nimeona hasara niliyopata, ndio Maana nafundisha watu hapa buree.
Ndio Maana kwenye Biashara una asses risk, sio Kila Biashara unafanya, zipo unazofanya mtaji ukiwa salama, Mfano una kiwanja, umeanza na chumba Cha biashara. Huiapoteza kiwanja, mradi ukopotea.
Ndio Maana Watanzania wengi wenye Elimu ndogo ni risk taker, wanafanya Kila Ina ya Biashara, hawana muda wa kujilinda Kwa kuweka kitita benki kisichozalisha, matokeo Wana maisha mazuri na free stress, Kuliko wasomi, wanaosubiri pensheni waongezee ndio wawekeze, uzoefu wa Biashara zero, matokeo...
Hukupata Washauri wazuri wakati wa kununua hisa, ulipaswa ununue Treasury bond, thamani na Hela yako haipotei na inapatikana unapoitaka. Ndio Maana uliona hisa za voda hazikununuliwa zote, watu walijua hawana kipya. Unaona akina Rostam anauza hisa, elewa hakuna faida huko.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.