BOB LUSE
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 3,619
- 2,998
Kuna baadhi ya wanawake wanaenda na kauli mbiu kuwa mwanaume ni wajibu wake kutafuta Hela, yeye kazi yake kutumia.. Hilo janga kwakuwa linapingana na neno la Mungu kuwa asiyefanyakazi na asile. Kila mtu anawajibika kuwa na Mchango katika familia, sio kusubiri kudaka tu. Heshima yako na ndoa itakufa, sikutabirii ila ndio kanuni, hutatoboa,
Kuna Dada namfahamu, amemaliza Chuo,hajawahi tulia akawa na Mchango katika ndoa yake, karibuni analalamika mume wake kamtelekeza na Watoto,lakini Dada ni lifestyle yake ni maisha ya juu,ya kupenda kula na kunywa sehemu nzuri Kwa gharama za Familia. Wanaume hatupendi wadada mizigo,uta survive muda mfupi, unapokaribishwa, ukiwa na Watoto wawili/ watatu hutoboi na tabia hizo.
Tabia za kula Hela za wanaume bila michango kwenye familia waachie Ma slay Queen,ndio kazi na taaluma zao.Dada be productive and add value to your Married.
Gotcha you!
Kuna Dada namfahamu, amemaliza Chuo,hajawahi tulia akawa na Mchango katika ndoa yake, karibuni analalamika mume wake kamtelekeza na Watoto,lakini Dada ni lifestyle yake ni maisha ya juu,ya kupenda kula na kunywa sehemu nzuri Kwa gharama za Familia. Wanaume hatupendi wadada mizigo,uta survive muda mfupi, unapokaribishwa, ukiwa na Watoto wawili/ watatu hutoboi na tabia hizo.
Tabia za kula Hela za wanaume bila michango kwenye familia waachie Ma slay Queen,ndio kazi na taaluma zao.Dada be productive and add value to your Married.
Gotcha you!