Elimu ya Tanzania siyo bure, CCM someni alama za Nyakati

BOB LUSE

JF-Expert Member
Jan 25, 2014
3,619
2,999
Watanzania wamesoma, miaka takribani 60 Sasa toka uhuru .sio wajinga kwakuwa ni wakimyaa wanaopenda kushughulikia na mambo yao yasiohusu siasa,japo maisha yenyewe ni siasa.

Ni jambo la Hatari kufikiria mtu aliyekaa kimyaa kuwa ni Mjinga. Watu wanaonufaika pakubwa na chama na Serikali ni familia za watu walio rithishwa vyeo,jipenyesha kushika madaraka hata Kwa kutoa rushwa na hila mbalimbali.

Unakataa vipi ushindani katika kupata Viongozi?

1) Kwanini mgombea binafsi akataliwe,wote mnataka tugombee uongozi Kwa kutoa rushwa kwenye mavyama yenu?

2) kwanini Mpinge Tume iliyo neutral? Kwanini mnapenda uovu huku mmejaa makanisani na misikitini?

3) Kwanini Polisi na vyombo vya Usalama viwabebe? Hivi nyie Polisi /afisa Usalama,pia,Elimu mlizopewa mmeziacha darasani? Kwanini mlinde kikundi Cha watu wachache wakati ndugu zenu wapo kwenye lindi la umaskini?

Maswahi ya kupata Viongozi waadilifu ni Kwa wananchi sio Vyama vya UPINZANI, wapinzani nao ni wasaka fulsa ambao wako tayari kuangalia maslahi yao zaidi Kuliko wananchi ndio Maana wamekuwa wakishiriki chaguzi ambazo wanajua hawawezi kushinda, absurd! Wanajari ruzuku na Hela za uchaguzi.

Mwenye akili timamu hawezi kugombea uongozi katika Mazingira haya.pia Iko saa CCM watatafuta pa kujificha hawatapata Kwa uovu huu wa kushindwa kutenda na kusimamia Haki.

God bless Tanzania


1
 
Watanzania wamesoma, miaka takribani 60 Sasa toka uhuru .sio wajinga kwakuwa ni wakimyaa wanaopenda kushughulikia na mambo yao yasiohusu siasa,japo maisha yenyewe ni siasa.

Ni jambo la Hatari kufikiria mtu aliyekaa kimyaa kuwa ni Mjinga. Watu wanaonufaika pakubwa na chama na Serikali ni familia za watu walio rithishwa vyeo,jipenyesha kushika madaraka hata Kwa kutoa rushwa na hila mbalimbali. Unakataa vipi ushindani katika kupata Viongozi?
1) Kwanini mgombea binafsi akataliwe,wote mnataka tugombee uongozi Kwa kutoa rushwa kwenye mavyama yenu?
2) kwanini Mpinge Tume iliyo neutral? Kwanini mnapenda uovu huku mmejaa makanisani na misikitini?
3) Kwanini Polisi na vyombo vya Usalama viwabebe? Hivi nyie Polisi /afisa Usalama,pia,Elimu mlizopewa mmeziacha darasani? Kwanini mlinde kikundi Cha watu wachache wakati ndugu zenu wapo kwenye lindi la umaskini?

Maswahi ya kupata Viongozi waadilifu ni Kwa wananchi sio Vyama vya UPINZANI, wapinzani nao ni wasaka fulsa ambao wako tayari kuangalia maslahi yao zaidi Kuliko wananchi ndio Maana wamekuwa wakishiriki chaguzi ambazo wanajua hawawezi kushinda, absurd! Wanajari ruzuku na Hela za uchaguzi.

Mwenye akili timamu hawezi kugombea uongozi katika Mazingira haya.pia Iko saa CCM watatafuta pa kujificha hawatapata Kwa uovu huu wa kushindwa kutenda na kusimamia Haki.

God bless Tanzania


1
Nyie vijana siasa zitawafanya kua vichaa........
 
Watanzania wamesoma, miaka takribani 60 Sasa toka uhuru .sio wajinga kwakuwa ni wakimyaa wanaopenda kushughulikia na mambo yao yasiohusu siasa,japo maisha yenyewe ni siasa.

Ni jambo la Hatari kufikiria mtu aliyekaa kimyaa kuwa ni Mjinga. Watu wanaonufaika pakubwa na chama na Serikali ni familia za watu walio rithishwa vyeo,jipenyesha kushika madaraka hata Kwa kutoa rushwa na hila mbalimbali.

Unakataa vipi ushindani katika kupata Viongozi?

1) Kwanini mgombea binafsi akataliwe,wote mnataka tugombee uongozi Kwa kutoa rushwa kwenye mavyama yenu?

2) kwanini Mpinge Tume iliyo neutral? Kwanini mnapenda uovu huku mmejaa makanisani na misikitini?

3) Kwanini Polisi na vyombo vya Usalama viwabebe? Hivi nyie Polisi /afisa Usalama,pia,Elimu mlizopewa mmeziacha darasani? Kwanini mlinde kikundi Cha watu wachache wakati ndugu zenu wapo kwenye lindi la umaskini?

Maswahi ya kupata Viongozi waadilifu ni Kwa wananchi sio Vyama vya UPINZANI, wapinzani nao ni wasaka fulsa ambao wako tayari kuangalia maslahi yao zaidi Kuliko wananchi ndio Maana wamekuwa wakishiriki chaguzi ambazo wanajua hawawezi kushinda, absurd! Wanajari ruzuku na Hela za uchaguzi.

Mwenye akili timamu hawezi kugombea uongozi katika Mazingira haya.pia Iko saa CCM watatafuta pa kujificha hawatapata Kwa uovu huu wa kushindwa kutenda na kusimamia Haki.

God bless Tanzania


1
Kero zako zinaeleweka na zina uhalali. LAKINI fikiria vizuri zaidi.

Kama unaamini vyama vya upinzani na wapinzani nao ni wasaka fursa, wanajijali kibinafsi, hawajali wananchi, unaamini kuwa wagombea binafsi ndilo jibu sahihi? Kwamba hao wa binafsi ndio watakuwa waaminifu? Wanaojali wananchi na sio maslahi binafsi? Unatarajia wakiruhusiwa leo bila katiba mpya wala tume huru hawatajitokeza kugombea? Unawatofautishaje na wapinzani? Au unatarajia hawatakuwa wapinzani?

Halafu hii kujumlisha vyama vya upinzani na wapinzani wote katika kapu moja na kudai wote ni kama CCM tu: wabinafsi, wachumia tumbo, wasiojali wananchi ni hoja isiyo na mantiki kabisa. Mtanzania yeyote anayefuatilia siasa za nchi hii ataziona dhahiri tofauti za vyama na wanasiasa na juhudi zao.

Kuna ambao wameshajithibitisha umahiri na ujasiri wao katika kupigania demokrasia na maslahi ya taifa kwa kiasi kikubwa sana. Wame-sacrifice hasa. Na waliozama kwenye uchawa na uchumia tumbo wako wazi sana. Huwezi kueleweka ukidai wote ni sawa.

Hii hoja ya usawa kati ya CCM na upinzani kwa ubinafsi na uchumia tumbo hutumika sana kama kete ya mwisho (last card) ya propaganda za CCM wakishindwa kujibu hoja za upinzani hasa kuhusu ufisadi. Utasikia: “usiwaamini wanasiasa; wote CCM na wapinzani ni wale wale; wasaka maslahi binafsi; hawajali mtu, bora tuendelee na CCM tunayoijua (!!!??). Ulivyoandika unaonyesha kuwa mmoja wa hawa jamaa kiaina. Kama sivyo, basi onyesha tofauti yako na wao.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom