aliyelaaniwa ni wewe na nchi yako ya watu weusi. Spain imekwisha barikiwa kitambo sana ndo maana ilitawala bara la Amerika ya Kusini na lugha yake inaendelea kuongelewa Marekani ya kusini.
Acha kutetea ujinga. Maroboti Dunia ya Leo ni mengi na yanafanya hadi kazi ndani na mashambani. Kwani ni lazima sisi tumtengeneze wa kwetu? Kwanini usiende Kwa wenye ujuzi ukampa specifications zako wakakutengenezea? Yule wa NAPE ni mdoli, siyo Roboti.
kabisa. mimi na jamaa zangu tulianzisha jogging club ili kutoa vitambi na nyama uzembe za chipsy. nimefanikiwa pekee yangu. wengi hadi jogging hawatokei tena baada kukimbia mara mbili tu na kuanza kuumwa misuli. mimi nimetoka kg 88 hadi 79 ndani ya siku 90. lengo ni kwenda kg 74-76 kwa urefu wangu.
bado mnachanganya kati ya English Medium Schools na Internationa schools. hata huko Uganda na Kenya kuna International schools ila hakuna English Medium Schools maana huko lugha ya kufundishia ni English.
Baadhi ya mapadri walishiriki moja kwa moja ktk mauaji ya halaiki dhidi ya Watutsi na Wahutu wa mrengo wa kushoto (wasioafiki mauaji dhidi ya Watutsi). Baadhi ya Watawa walitoa taarifa kwa Wauaji kuhusu uwepo wa watutsi walioenda kujihifadhi ndani ya kanisa wakijua ni mahala salama na wengine...
Mleta mada ana mhemko wa Kilokole, wala haijui historia. Pale aliposema tu wakati wa utawala wa Uingereza ktk eneo la Palestina ndo kipindi Wayahudi walipelekwa Utumwani Ulaya sikuendelea Tena kusoma Kwa umakini.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.