😂 aisee wasameheni wenye matiti na vitambi. Kuvipata ni rahisi ila kuvitoa ni mtiti.Una matiti na kitambi kama Yeye
*Unalalamika kama Yeye
*Unaongea sana kama Yeye
*Unaongozwa na hisia kama Yeye
*Una wivu sana kama Yeye
*Huna misimamo kama Yeye
*Una matiti na kitambi kama Yeye
Fuata tu ushauri wa Prof Janabiaisee wasameheni wenye matiti na vitambi. Kuvipata ni rahisi ila kuvitoa ni mtiti.
Kuvitoe kimbeembe sana na inahitaji kujitoa kimwili na kifikra.😂 aisee wasameheni wenye matiti na vitambi. Kuvipata ni rahisi ila kuvitoa ni mtiti.
Wengi hukata tamaaKuvitoe kimbeembe sana na inahitaji kujitoa kimwili na kifikra.
Hakika ukifuata utapunguaFuata tu ushauri wa Prof Janabi
Kila siku miongozo kibao kwa wanaume halafu in return uyo mwanamke anacho-provide ni K tu.*Unalalamika kama Yeye
*Unaongea sana kama Yeye
*Unaongozwa na hisia kama Yeye
*Una wivu sana kama Yeye
*Huna misimamo kama Yeye
*Una matiti na kitambi kama Yeye
kabisa. mimi na jamaa zangu tulianzisha jogging club ili kutoa vitambi na nyama uzembe za chipsy. nimefanikiwa pekee yangu. wengi hadi jogging hawatokei tena baada kukimbia mara mbili tu na kuanza kuumwa misuli. mimi nimetoka kg 88 hadi 79 ndani ya siku 90. lengo ni kwenda kg 74-76 kwa urefu wangu.Wengi hukata tamaa
Hizo kg n nzuri kwa above 30+yrs.kabisa. mimi na jamaa zangu tulianzisha jogging club ili kutoa vitambi na nyama uzembe za chipsy. nimefanikiwa pekee yangu. wengi hadi jogging hawatokei tena baada kukimbia mara mbili tu na kuanza kuumwa misuli. mimi nimetoka kg 88 hadi 79 ndani ya siku 90. lengo ni kwenda kg 74-76 kwa urefu wangu.
Mwanamke tena?Nilimuacha huyo mwanamke kilasiku analalamika hana hela,