Nime copy ilivyo toka Ippmedia: THE GUARDIAN.
Tanzanians in Diaspora are proposing a suitable mechanism of taxing Tanzanian investors and businesspeople living abroad in a spirited drive to boost up the countrys revenue-base.
This comes as reports say that the government is losing a lot of...
Week end imeanza...!
Kwa wale walio olewa au kuoa wana jeshi mna shauriwa sana, mnapokuwa mmelala majumbani mwenu msikubali kabisa wenza wenu wakalala usingizi fofofo na kuanza kuota, Kwani akiota tu kwamba mpenziwe au mkewe ana fanya mapenzi na wanaume mwingine au mwanamke mwingine ujue...
Leo naona wana jf wengi weshajiandaa kwa wk japo siku baaaaado kabisa !!!! wazee wa Jackie D, Captain M, Konyagi, Damu ya Mungu, TBL wazee wa mujini bila kusahau wale wa uwanja wa fisi na wapenda supu za pweza weshaanza ulizana wapi pakwenda kufanya mashambulizi. Lakini yote hayo msijisahau...
Ndugu zangu kwanza natanguliza samahani zangu kwa yule yeyote nitakae kwenda kumkwanza kwa njia moja au ingine.
Mr. Liyumba ni mfanyakazi wa Benki kuu ya Tanzania BOT, kazi ambayo Labda kutokana mazingira yake ilimpa mwanya wa kuweza kujipatia kipato kwa njia zisizo halali, Mimi si husiki huko...
Nimejaribu kujiuliza lihi swali kila wakati bila kupata majibu yaliyo sahihi , Huwa najiuliza Rais wetu aliwaza nini au huwa anawaza nini pale ambapo huwa teuwa wana jeshi wastaafu kuwa wa wakuu wa mikoa na wakuu wa wilaya ?
Labda kwa ufahamu wangu mdogo mnaweza kunisaidia katika kupata...
Kwa mara ya kwanza ni ngependa kutoa ushauri kwa wale washauri wa Rais wetu.
Nimetafakari kwa muda mrefu, Kutokana na misukosuko mingi iliyopo ndani ya nchi yetu kwa sasa,tukianzia katika swala la kuanguka kwa Uchumi wa Tanzania, Maswala mbali mbali yahusushwayo na Ufisadi, Mifarakano kati ya...
Taiwan ex-leader jailed for life
Mr Chen chose to stay in detention rather than hear the verdict in person
Taiwan's former President Chen Shui-bian has been sentenced to life in prison after being found guilty of corruption by a court in Taipei. Mr Chen was charged with embezzlement...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.