Tongue blister
JF-Expert Member
- Jun 19, 2009
- 362
- 11
Ndugu zangu kwanza natanguliza samahani zangu kwa yule yeyote nitakae kwenda kumkwanza kwa njia moja au ingine.
Mr. Liyumba ni mfanyakazi wa Benki kuu ya Tanzania BOT, kazi ambayo Labda kutokana mazingira yake ilimpa mwanya wa kuweza kujipatia kipato kwa njia zisizo halali, Mimi si husiki huko na siwezi kumhukumu kwa sababu sina hata ule uhakika wa kile kilichotendea hadi kumpelekea kufunguliwa mashtaka kwake kwa kuliingizia taifa hasara za mamilion ya shilingi. HAINIHUSU SANA HII.
Mr Liyumba kwa tetesi ambazo pia sina uhakika wa asilia mia nasikia alijihusisha katika vitendo vya kufanya ngono na baadhi ya dada zetu na kuwanunulia magari aina ya RAV 4 nyekundu.! Kama baadhi ya post zilizopita zilivyokuwa zikizungumzia.
Jambo hili nimelifikiria kiundani nikaja kujridhisha kwa majibu kwamba Mr. Liyumba kama binadamu wengine ana haki ya kufanya kile ambacho anaona kwake ni sawa na anao uhuru wa maisha yake na matumizi ya fedha alizo nazo kufanya kile aonacho yeye ni sawa pasipo kumdhuru au kuvunja sheria za nchi. Labda naweza kumhukumu tu endapo itakuja kugundulika kwamba aliyafanya hayo kwa makusudi akijijua kwamba yeye ni mwathirika au kwa kuwakomoa dada zetu.
Vingine sitoweza kumhukumu kwani wenye kufanya mapenzi na wanawake wengi na kuwahonga magari,fedha na hata nyumba na vitu vingine ni wengi miongoni mwetu.
Binadamu tumeumbwa na kutofautishwa na wanyama kwasababu tumepewa uwezo wa kutambua yaliyo mazuri na mabaya , tumepewa uwezo wa kufikiri mambo tofauti na wanyama wa polini.
Mr Liyumba yupo mahabusu ..hupangiwa siku za kwenda kusikiliza mashitaka yake mahakamani.
Je, dada zangu walionunuliwa RAV 4 nyekundu ni WANGAPI HUENDA KUSIKILIZA MASHITAKA YA MR LIYUMBA SIKU HIZO AMBAZO HUPANDISHWA KIZIMBANI?
Mr. Liyumba ni mfanyakazi wa Benki kuu ya Tanzania BOT, kazi ambayo Labda kutokana mazingira yake ilimpa mwanya wa kuweza kujipatia kipato kwa njia zisizo halali, Mimi si husiki huko na siwezi kumhukumu kwa sababu sina hata ule uhakika wa kile kilichotendea hadi kumpelekea kufunguliwa mashtaka kwake kwa kuliingizia taifa hasara za mamilion ya shilingi. HAINIHUSU SANA HII.
Mr Liyumba kwa tetesi ambazo pia sina uhakika wa asilia mia nasikia alijihusisha katika vitendo vya kufanya ngono na baadhi ya dada zetu na kuwanunulia magari aina ya RAV 4 nyekundu.! Kama baadhi ya post zilizopita zilivyokuwa zikizungumzia.
Jambo hili nimelifikiria kiundani nikaja kujridhisha kwa majibu kwamba Mr. Liyumba kama binadamu wengine ana haki ya kufanya kile ambacho anaona kwake ni sawa na anao uhuru wa maisha yake na matumizi ya fedha alizo nazo kufanya kile aonacho yeye ni sawa pasipo kumdhuru au kuvunja sheria za nchi. Labda naweza kumhukumu tu endapo itakuja kugundulika kwamba aliyafanya hayo kwa makusudi akijijua kwamba yeye ni mwathirika au kwa kuwakomoa dada zetu.
Vingine sitoweza kumhukumu kwani wenye kufanya mapenzi na wanawake wengi na kuwahonga magari,fedha na hata nyumba na vitu vingine ni wengi miongoni mwetu.
Binadamu tumeumbwa na kutofautishwa na wanyama kwasababu tumepewa uwezo wa kutambua yaliyo mazuri na mabaya , tumepewa uwezo wa kufikiri mambo tofauti na wanyama wa polini.
Mr Liyumba yupo mahabusu ..hupangiwa siku za kwenda kusikiliza mashitaka yake mahakamani.
Je, dada zangu walionunuliwa RAV 4 nyekundu ni WANGAPI HUENDA KUSIKILIZA MASHITAKA YA MR LIYUMBA SIKU HIZO AMBAZO HUPANDISHWA KIZIMBANI?