Search results

  1. Mtambuzi

    Hivi Tanzania hatuna taasisi inayochunguza ubora wa huduma zinazotolewa kwenye hii mighahawa hapa nchini?

    Siku hizi ukiingia kwenye mitandao ya kijamii utakutana na manung'uniko mengi kutoka kwa watu hususan sisi wazawa wenye rangi nyeusi yakituhumu ubaguzi katika kutoa huduma kwa wateja wenye ngozi nyeusi kwenye hii mighahawa ya kitalii. Ukisoma maoni kutoka kwenye malalamiko ya mtoa hoja unakuja...
  2. Mtambuzi

    Je wanawake wanaweza kufurahia mahusiano mapya ya wenza wao walioachana?

    Je wanawake wanaweza kufurahia mahusiano mapya ya wenza wao walioachana? Kwa watu wenye mahusiano au wanandoa kuachana ni jambo gumu sana katika Maisha hususan kwa wanawake hasa ikiwa katika mahusiano hayo au ndoa hiyo kuna mtoto. Ni jambo gumu kwa sababu kwa mwanamke atalazimika kuwa na...
  3. Mtambuzi

    Wale tulioshuhudia vijimambo vya harusi za Kibongo tukutane hapa

    Nimekuwa nikihudhuria sherehe mbalimbali za harusi hapa jijini Dar ambapo nimekuwa nikishuhudia vijimambo mbalimbali vya kufurahisha na wakati mwingine vya kusikitisha. Nakumbuka Niliwahi kuhudhuria sherehe ya harusi ya jamaa mmoja ambaye nadhani hali yake hali ya familia yake kiuchumi haikuwa...
  4. Mtambuzi

    Jamaa akaambiwa ruksa kumuoa…

    Ngoja niwamegee kesi hii kati ya Hasumati dhidi ya Bashirihussein na mwenzie na ni kesi iliyoripotiwa katika ripoti za kisheria za Tanzania za mwaka 1983. Je ilikuwaje? Katika kesi hii Mama raia wa India alikuwa ndiyo mlalamikaji na alikuwa anamshitaki mkwewe na binti yake. Kisa cha...
  5. Mtambuzi

    Dibaji ya kitabu cha visa na mikasa ya kesi maarufu duniani na hukumu zake toleo la kwanza

    Visa na Vikasa ya Kesi Maarufu Duniani na Hukumu Zake ni mwanzo wa vitabu nitakavyokuwa nikivitoa kwa awamu ambapo vitabu hivyo vitakuwa na mkusanyiko wa kesi mbalimbali zilizowahi kutokea katika nchi mbalimbali duniani na kuvuta hisia za watu wengi. Katika kitabu hiki cha toleo la kwanza kuna...
  6. Mtambuzi

    Kitabu cha visa na mikasa ya kesi maarufu duniani sasa kiko sokoni

    Habari wapendwa wa JF. Kile kitabu kilichokuwa kikisubiriwa kwa hamu na wasomaji cha VISA NA MIKASA YA KESI MAARUFU DUNIANI NA HUKUMU ZAKE kimetoka na kwa sasa kinapatikana Chuo Kikuu Mlimani Dar Es Salaam Taasisi ya Kiswahili (TUKI) kwa bei ya TZS 10,000/= Kwa wale wanaokihitaji wanaweza...
  7. Mtambuzi

    Baada ya kuona Makala zangu niandikazo humu zinasambaa hovyo na wengine kujipa Umiliki, sasa nimezisajili COSOTA

    Ni ushauri tu kwa wale wanaopenda kupita humu na kudokoa makala za watu na kuzitupia kwenye blog zao au kwenye magrupu ya Whattsup. Baada ya kuona makala zangu ninazoweka humu zinasambaa hovyo na wengine wakijidai ni wao ndiyo waandishi wa makala hizo hivi sasa nimesajili makala zangu zote...
  8. Mtambuzi

    Picha: Wanaume walibadili jinsia...!

  9. Mtambuzi

    Ukimtia mimba binti mwenye umri wa miaka 14 ruksa kumuoa kwa mujibu wa sheria....

    Ngoja niwamegee kesi hii kati ya Hasunati dhidi ya Bashirihussein na mwenzie na ni kesi iliyoripotiwa katika ripoti za kisheria za Tanzania za mwaka 1983. Je ilikuwaje? Katika kesi hii Mama raia wa India alikuwa ndiyo mlalamikaji na alikuwa anamshitaki mkwewe na binti yake. Kisa cha...
  10. Mtambuzi

    Wanaume: Je unaweza kuruhusu mkeo kwenda kumuona daktari wa magonjwa ya kike ambaye ni rafiki yako?

    Inatokea mkeo au mpenzi wako anasumbuliwa na maradhi ambayo anatakiwa kumuona mtaalamu wa maradhi ya kike. Halafu kwa bahati nzuri unaye rafiki yako ambaye ni mtaalamu wa fani hiyo na anafanya kazi kwenye hospitali kubwa ya serikali. Je unaweza kuruhusu mkeo kwenda kumuona rafiki yako huyo...
  11. Mtambuzi

    Nani anaweza kuwa na moyo huu...?

  12. Mtambuzi

    Karibuni tule Keki ya Mtambuzi...!

  13. Mtambuzi

    Res Ipsa Loquitur...!

    ''The thing speak for itself.....''
  14. Mtambuzi

    Selfie hata kwenye Majanga...!

  15. Mtambuzi

    Duh! Simu saba!

  16. Mtambuzi

    Hivi wanawake wanamaanisha nini wanaposema wanataka mwanaume mwenye hofu ya Mungu?

    Karibu asilimia 90 ya wanawake ambao nimekutana nao na wengine kuwaona mtandaoni wanapotoa sifa za wanaume ambao wangependa waolewe nao sifa inayopewa msisitizo ni ile ya mwanaume mwenye hofu ya Mungu. Hii sasa imekuwa kama ndiyo slogan ya wanawake wanaotafuta wenza. Binafsi nimekuwa...
  17. Mtambuzi

    Je, sahani ya msosi kwa Mama Ntilie ni kiasi gani kitaani kwenu?

    Huku Kitaani kwetu TABATA UBAYA UBAYA sahani inakwenda kwa bei ya Buku mpaka Buku na Mia Tano...
Back
Top Bottom