Mapicha picha ya Kimbunga kilichoikumba Jimbo la Texas nchini Marekani

Mtambuzi

Platinum Member
Oct 29, 2008
8,811
15,404
upload_2017-8-30_14-30-2.png


upload_2017-8-30_14-29-45.png

upload_2017-8-30_14-30-16.png


upload_2017-8-30_14-30-30.png


upload_2017-8-30_14-30-42.png


upload_2017-8-30_14-30-57.png


upload_2017-8-30_14-31-10.png



upload_2017-8-30_14-31-20.png






upload_2017-8-30_14-31-53.png


upload_2017-8-30_14-32-4.png


upload_2017-8-30_14-32-14.png
 

Attachments

  • upload_2017-8-30_14-34-37.png
    upload_2017-8-30_14-34-37.png
    92.8 KB · Views: 95
Haya majanga ni kumuomba Mungu yasitokee kwetu, madhara yanakua makubwa sana na Siasa zinaingia, mara utasikia michango ya watu kuhusiana na maafa imepangiwa kazi nyingine na kadhalika
Donald alikuwepo jana, kawatembelea na kaahidi kuwapa full support! Na siku si nyingi atarudi tena, wenzetu viongozi bado ile roho ya huruma ipo kiasi flani.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
wenzetu wao wakimbia kusave maisha yao na mbwa wao.Kitu inaitwa insurance ni nzuri sana
 
Hahahh huku wanajenga kwa mpangilio ni vile tu huwezi kushindana na Mother Nature!
Ndo viongozi watanzania wajue.mafuriko hayana dawa.hata marekani penye maendeleo ya miundo mbinu mafuriko yanatokea.

Mi naona cha msingi pale jangwani wauziwe matajiri wajenge maghorofa na maduka.wale wakazi wa pale wafidiwe.naamini matajiri wataujenga ule mji kisasa.na kuweka miundo mbinu ya ukweli.mafuriko itakuwa ni historia.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom