Naona wengi wenu mnaolalamikia Kairuki ni vijana na pengine mumeanza kuitumia hivi karibuni. Mimi nilishaapa hata BURE siwezi tibiwa pale na nitoka miaka zaidi ya 20 ilihopita. Na enzi zile ni wahaya na watu wa assemblies of God ndio palikuwa mahala pao pa matibabu.
Miaka ya hivi katibuni na...
Wahitimu wa PhD UDSM
2010/11 - 38
2011/12 - 42
2011/13 - 34
2013/14 - 57
Idadi ya wafanyakazi wanataaluma
wenye Phd kati ni 519 (kwa takwimu za 2013/14).
Graduation nyingi hufanyika jumamosi, je wasabato huwa hawaendi kwenye graduation? Maana mtu umepiga msoto miaka 3-4 halafu usiende? Kama wanaenda sasa kwa nini wasifanye mtihani jumamosi? (SWALI LA KIZUSHI)
hauko pekee yako hapohapo UDSM niliwahi fanya test Xmas eve na pia mwaka mpya tuliambiwa tutakuta majina ya watakaofanya mtihani tarehe mbili yamebandikwa na enzi hizo hamna cha simu ya mkononi. Basi mtu unatoka huko ulipo na kwenda kusoma jina siku ya mwaka mpya. Wengine wakaamua tu wajiandae...
pole sana ndugu yangu. Asiyekupa support katika hili atakuwa mtu wa ajabu au naye ana tabia kama za huyu mtoto. Binafsi nimelea wengi tena wenye tabia chafu kuliko huyo wa kwako. Haya mambo bwana yanahitaji busara sana. Huyo dadaako ni rahisi kukulaumu kwa kuwa kalishwa maneno na mtoto huyo...
Kabla hatujarukia kumsema mkeo kuna mengi hujaweka bayana:
1. Je mkeo ni mfanyakazi au mama wa nyumbani?
2. Kama ni mfanyakazi, je ana dhamana ofisini kwake?
3. Mnaishi nyumba ya kupanga au ya kwenu?
4. Je mna nafasi?
5. Je mna uhusiano imara na mkeo? Maana usitegemee ubabe wako, ubahili...
Je umepimwa wewe? Maana usiseme hana tatizo inaeezekana sperm count yako iko chini sana.
IVF ni njia nzuri. Ila na yeye aache kujipa stress mambo haya hayahitaji stress.
Degree ya kwanza - UDSM
Degree ya Masters - UDSM
Phd - University of Florida at Gainesville
JF tulianza kunako zamani baada ya forum yetu ya wanaAtlanta kukosa support na website kufungwa. Tukahamia JF.
Nivea, story yako ni ya upande mmoja ila pia mumeo naye yaonekana anamkwepa mama yake. Kuna jambo na kuna walakini. Mtu huwezi kumpita mama yako mzazi sebuleni kwa salaam za hi! Hata siku moja! Imagine ingekuwa mama yako? Usije chekelea hapo pengine mama amegundua kitu kilichojificha kwa mumeo...
Kwa asiyejua Honda basi atakwambia ni gari bomu. Honda ni kati ya magari bora na yenye uimara kushinda toyota. Naaema hivyo kutokana na uzoefu wangu maana ninaendesha CRV 2009. Nimeshawahi kuendesha CRV 2003 na 2005.
Kwa mazingira ya TZ inahitaji gari yenye nguvu. Pia salama na siyo chambo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.