Ndugu wa mume kiboko aisee

Nivea, story yako ni ya upande mmoja ila pia mumeo naye yaonekana anamkwepa mama yake. Kuna jambo na kuna walakini. Mtu huwezi kumpita mama yako mzazi sebuleni kwa salaam za hi! Hata siku moja! Imagine ingekuwa mama yako? Usije chekelea hapo pengine mama amegundua kitu kilichojificha kwa mumeo na kumkanya wewe unashabikia wakati hujui? Au labda anataka kuwaaga nyie mnajifanya mko busy? Kuna namna nyingi wazee huwa wanahitaji kuchukuliwa. Kuna binti hivihivi kama wewe akawa anamnanga mama mkwe kumbe mama alimbamba mwanaye mjini akitokeq gesti. Sasa mtoto aibu. Bqsi siku ya siku binti alimtolea mbovu mama mkwe ndipo mama mkwr akamweleza kuwa siku zote unaniona hapa namsubiri mumeo nataka niobgee naye jambo na ananikwepa na jambo lenyewe ndio hili. Binti aligwaya! Mama mkwe kumbe alishapaki vitu na aliondoka usiku uleule.
Kwa hiyo binti punguza munkari. Wapo wazee wenye matatizo na kuna namna ya kuwachikulia. Huyo ni mama mzazi wa mumeo. Hajaja kuchukua penzi lako. Kuwa mature na umwonyeshe kuwa pendo la mwanaye bado lipo na linawatosha wote. Mwanaye atamjali na atakujali na wewe. Usiharibu uhusiano wenu mapema. Safari bado ndefu ktk ndoa.
 
Nivea, story yako ni ya upande mmoja ila pia mumeo naye yaonekana anamkwepa mama yake. Kuna jambo na kuna walakini. Mtu huwezi kumpita mama yako mzazi sebuleni kwa salaam za hi! Hata siku moja! Imagine ingekuwa mama yako? Usije chekelea hapo pengine mama amegundua kitu kilichojificha kwa mumeo na kumkanya wewe unashabikia wakati hujui? Au labda anataka kuwaaga nyie mnajifanya mko busy? Kuna namna nyingi wazee huwa wanahitaji kuchukuliwa. Kuna binti hivihivi kama wewe akawa anamnanga mama mkwe kumbe mama alimbamba mwanaye mjini akitokeq gesti. Sasa mtoto aibu. Bqsi siku ya siku binti alimtolea mbovu mama mkwe ndipo mama mkwr akamweleza kuwa siku zote unaniona hapa namsubiri mumeo nataka niobgee naye jambo na ananikwepa na jambo lenyewe ndio hili. Binti aligwaya! Mama mkwe kumbe alishapaki vitu na aliondoka usiku uleule.
Kwa hiyo binti punguza munkari. Wapo wazee wenye matatizo na kuna namna ya kuwachikulia. Huyo ni mama mzazi wa mumeo. Hajaja kuchukua penzi lako. Kuwa mature na umwonyeshe kuwa pendo la mwanaye bado lipo na linawatosha wote. Mwanaye atamjali na atakujali na wewe. Usiharibu uhusiano wenu mapema. Safari bado ndefu ktk ndoa.

Nivea soma hapa. Uelewe
 
Last edited by a moderator:
Nivea, story yako ni ya upande mmoja ila pia mumeo naye yaonekana anamkwepa mama yake. Kuna jambo na kuna walakini. Mtu huwezi kumpita mama yako mzazi sebuleni kwa salaam za hi! Hata siku moja! Imagine ingekuwa mama yako? Usije chekelea hapo pengine mama amegundua kitu kilichojificha kwa mumeo na kumkanya wewe unashabikia wakati hujui? Au labda anataka kuwaaga nyie mnajifanya mko busy? Kuna namna nyingi wazee huwa wanahitaji kuchukuliwa. Kuna binti hivihivi kama wewe akawa anamnanga mama mkwe kumbe mama alimbamba mwanaye mjini akitokeq gesti. Sasa mtoto aibu. Bqsi siku ya siku binti alimtolea mbovu mama mkwe ndipo mama mkwr akamweleza kuwa siku zote unaniona hapa namsubiri mumeo nataka niobgee naye jambo na ananikwepa na jambo lenyewe ndio hili. Binti aligwaya! Mama mkwe kumbe alishapaki vitu na aliondoka usiku uleule.
Kwa hiyo binti punguza munkari. Wapo wazee wenye matatizo na kuna namna ya kuwachikulia. Huyo ni mama mzazi wa mumeo. Hajaja kuchukua penzi lako. Kuwa mature na umwonyeshe kuwa pendo la mwanaye bado lipo na linawatosha wote. Mwanaye atamjali na atakujali na wewe. Usiharibu uhusiano wenu mapema. Safari bado ndefu ktk ndoa.

ndugu mimi sina tatizo na mtu na sichukui issue that serious ndiio sababu iko huku ChitChat ndugu maisha yangu ni rahisii sana.huyu bwana sio anamkwepa ila anakuwa amechoka sana na kazi kuanza kukaa saa 4 inahitaji nguvu ya ziada.mimi nina kifua naweza meza nakunnyamaza mambo ambayo mwanamke yyt hawezi fanya hapa mi nacheka sana toka juzi alipomwambia alikuwa anamsubiri hahahaha
 
thubutu nina mipaka mimi sijawahi gombana na mtu na sintokaa kamwe namwambia mke mwenzangu wiki hii zamu yako chumbani twende hahahahah tafsida sinaga ng'o

dah! Sasa mke ni wa ukoo au? Tena mama mwngne aweza kuja na wanawe wengne wakubwa. Eti kwa kaka/dada yao

Yes. Kama kaja kusalimia basi week itamtosha. Kama aumwa basi hadi hapo matibabu yatakapokwsha..Kuhamia hapana.
ha haaa, namchekaga mama yetu akija kwako yaani kwanza unashukuru kakubali kuja, ila uwe na nauli tayari tayari otherwise ataenda kukata tiketi ya kurudi kwake kwa hela yake. hataki kabisa kukaa nyumbani kwa watoto.
Ukimwambia likizo anasema nyie watoto ndo mnapaswa kuja likizo nyumbani kwangu, siyo mimi kuja kwenu. yaani msipojipanga unaweza usionane naye hata miaka kadhaa, na hivi simu zinatudanganya mnaweza ongea kila siku basi siku zinakatika tu.
Inakuwaga sheshe mtu akijifungua kwetu, tunamwomba aje kutusaidia maana yeye ni nesi, anakuambia anayehitaji msaada wangu aje kujifungulia kwangu.....unalo?
Ila wifi yetu atapata raha sana, no mama mkwe/mawifi troubles...... kwa raha zake mwenyewe
 
Nivea, story yako ni ya upande mmoja ila pia mumeo naye yaonekana anamkwepa mama yake. Kuna jambo na kuna walakini. Mtu huwezi kumpita mama yako mzazi sebuleni kwa salaam za hi! Hata siku moja! Imagine ingekuwa mama yako? Usije chekelea hapo pengine mama amegundua kitu kilichojificha kwa mumeo na kumkanya wewe unashabikia wakati hujui? Au labda anataka kuwaaga nyie mnajifanya mko busy? Kuna namna nyingi wazee huwa wanahitaji kuchukuliwa. Kuna binti hivihivi kama wewe akawa anamnanga mama mkwe kumbe mama alimbamba mwanaye mjini akitokeq gesti. Sasa mtoto aibu. Bqsi siku ya siku binti alimtolea mbovu mama mkwe ndipo mama mkwr akamweleza kuwa siku zote unaniona hapa namsubiri mumeo nataka niobgee naye jambo na ananikwepa na jambo lenyewe ndio hili. Binti aligwaya! Mama mkwe kumbe alishapaki vitu na aliondoka usiku uleule.
Kwa hiyo binti punguza munkari. Wapo wazee wenye matatizo na kuna namna ya kuwachikulia. Huyo ni mama mzazi wa mumeo. Hajaja kuchukua penzi lako. Kuwa mature na umwonyeshe kuwa pendo la mwanaye bado lipo na linawatosha wote. Mwanaye atamjali na atakujali na wewe. Usiharibu uhusiano wenu mapema. Safari bado ndefu ktk ndoa.
BiMkubwa umesema vizuri sana...... hayo pia yanatokea sana tu katika haya maisha.
Nakumbuka kuna siku mama mkwe wangu alikuja kuniambia kuhusu shem wangu, mtoto wake mwingine wa kiume. alikuwa kaoa lakini ana mambo ya nje. mume wangu hakuwa karibu akaamua kuniambia mimi ili niongee na shem.
ila wakati mwingine wamama huwa wana tabia za kudeka kwa watoto wao. kwa nini kama mama ana kitu cha kumwambia mwanae asimwambie mkewe kuwa nataka kuongea na mwanangu ili mke amwambie mumewe? kama mume anapatikana kirahisi basi haina haja ya kumwambia mke kuwa nataka kuongea na mwanangu, lakini kama ni wa kumvizia mi naona ingekuwa busara mama akamwambia mkewe ili mke atajua aandae vipi mazingira ya mama kukutana na mwanaye maana kwa vyovyote mume ataonana na mkewe chumbani. sasa kuna maana gani unamsubiri sitting room na mtu anapitiliza chumbani? angemwambia mkewe si mke angemwambia kuwa kaongee na mama alikuwa anakusubiri?
 
Last edited by a moderator:
ndugu mimi sina tatizo na mtu na sichukui issue that serious ndiio sababu iko huku ChitChat ndugu maisha yangu ni rahisii sana.huyu bwana sio anamkwepa ila anakuwa amechoka sana na kazi kuanza kukaa saa 4 inahitaji nguvu ya ziada.mimi nina kifua naweza meza nakunnyamaza mambo ambayo mwanamke yyt hawezi fanya hapa mi nacheka sana toka juzi alipomwambia alikuwa anamsubiri hahahaha
hakuna kitu kizuri kama kuchukulia ndugu wa mume kirahisi rahisi, otherwise unaweza pata pressure.....
wewe kama mke unajua nafasi yako, hilo ndo la maana.
Usijaribu kunyanyasa mtu, hakikisha wanapata vitu muhimu.....
 
hakuna kitu kizuri kama kuchukulia ndugu wa mume kirahisi rahisi, otherwise unaweza pata pressure.....
wewe kama mke unajua nafasi yako, hilo ndo la maana.
Usijaribu kunyanyasa mtu, hakikisha wanapata vitu muhimu.....
mimi ugomvi twini ni kama magharibi na mashariki kitu ninachokifanya cha kwanza namsoma mtu ni wa namna gani maana sijawahi ishi naye nikishakujua ni wa namna gani hunipi shida nilisikiaga alimsumbua sana mke wa mtoto wake wa kwanza sanasana mimi hawawezi simpi mtu nafasi yakunijua nukoje,sipendi ugomvi sababu unanikost sana,hicho chakusema atalalaje mtoto wake hajafika nilishangaa sana maana ni wiki ya pili hii je miaka tuliyoishi alikuwa anaishije,hata yule bwana baada ya kauli ile niliona kama kadout kitu .kweli nitakuja kuwa mama mkwe nina watoto wa kiume na wakike ila siwezi kuwa mtu hovyo namna hii.
 
mimi ugomvi twini ni kama magharibi na mashariki kitu ninachokifanya cha kwanza namsoma mtu ni wa namna gani maana sijawahi ishi naye nikishakujua ni wa namna gani hunipi shida nilisikiaga alimsumbua sana mke wa mtoto wake wa kwanza sanasana mimi hawawezi simpi mtu nafasi yakunijua nukoje,sipendi ugomvi sababu unanikost sana,hicho chakusema atalalaje mtoto wake hajafika nilishangaa sana maana ni wiki ya pili hii je miaka tuliyoishi alikuwa anaishije,hata yule bwana baada ya kauli ile niliona kama kadout kitu .kweli nitakuja kuwa mama mkwe nina watoto wa kiume na wakike ila siwezi kuwa mtu hovyo namna hii.
pole twin, achana naye wala usisemezane naye. na la maana zaidi usithubutu kuongea lolote kwa mwanaye kuhusu anayofanya mamake, yamfikie through mtu mwingine, na usilalamike kwa ndugu. kama unaweza kuongea naye mwenyewe fanya hivyo, tena kwa adabu na upole, kama ana kitu atakuambia ila kama ni mapepe yake tu anaweza jiuliza.
Huyo ni mamako kwa sasa, huna la kufanya. acha afanye atakalo akikuona hujali ataaga, kama ana kwa kwenda, lol!
 
Mimi huwa watu wengine wananishangaza sana!!kuna tatizo lolote kama mtu anafanya kitu na hakikudhuru??mama mkwe kakaa zake sebuleni anamsubiri mwanae,kama hakuna madhara yoyote kwako is it a big deal??kuna haja ya kumcheka mpaka unakaa chini??kuna haja ya kumzimia taa??mbona wewe ndo unatafuta uchokozi!?tuache mambo ya ajabu jamani!!tuache kukariri!!mama mkwe ni sawa na mama yako na sioni ubaya wa alichokifanya hapo!!wewe ndo unaonekana una wivu..kama na wewe ulihitaji kumsubiri mumeo ungeunga tela hapo na sio kujidai unashangaa..nimenote kitu kimoja kwa wanawake wa kitanzania wengi wao wanapenda mambo ya "u~mama mkwe na u~wifi "bila kujua kuna kipindi na yeye atakua wifi au mama mkwe!!ishini na ndugu za mume vizuri kama ni ndugu zenu vile..sikatai kila mtu ana mapungufu yake ila hicho kisiwe ndo kigezo cha kuanza kuonana wabaya!tuchukuliane vizuri na naamini ukijua kuishi na watu vizuri hakuna kitakachokupa presha!!
 
Mimi huwa watu wengine wananishangaza sana!!kuna tatizo lolote kama mtu anafanya kitu na hakikudhuru??mama mkwe kakaa zake sebuleni anamsubiri mwanae,kama hakuna madhara yoyote kwako is it a big deal??kuna haja ya kumcheka mpaka unakaa chini??kuna haja ya kumzimia taa??mbona wewe ndo unatafuta uchokozi!?tuache mambo ya ajabu jamani!!tuache kukariri!!mama mkwe ni sawa na mama yako na sioni ubaya wa alichokifanya hapo!!wewe ndo unaonekana una wivu..kama na wewe ulihitaji kumsubiri mumeo ungeunga tela hapo na sio kujidai unashangaa..nimenote kitu kimoja kwa wanawake wa kitanzania wengi wao wanapenda mambo ya "u~mama mkwe na u~wifi "bila kujua kuna kipindi na yeye atakua wifi au mama mkwe!!ishini na ndugu za mume vizuri kama ni ndugu zenu vile..sikatai kila mtu ana mapungufu yake ila hicho kisiwe ndo kigezo cha kuanza kuonana wabaya!tuchukuliane vizuri na naamini ukijua kuishi na watu vizuri hakuna kitakachokupa presha!!
ndugu kuwa mwelewa kidogo mimi sizimi nkamwacha gizani nazima maeneo mengine kwani namwachia hapo sebuleni anapokaa sina umeme wa Tanesco mimi huyu mama namweshimu sana kama mama japo hawezi kuwa mama yangu ,mimi wivu wa nini mwenye wivu na mwanae sina desturi hizo.naishi naye vizuri tu ila kilichonshangaza ni kukaa hapo sebuleni kumsubiri hahahahaha ni mkewe je akiondoka nani atamweka hapo kusubiri hizo ni mbwembwe tu wala usitetee,dont take life that serious aisee ndio sababu mada yangu nikaiweka CHIT CHAT ,hapa sio MMU
 
Mimi huwa watu wengine wananishangaza sana!!kuna tatizo lolote kama mtu anafanya kitu na hakikudhuru??mama mkwe kakaa zake sebuleni anamsubiri mwanae,kama hakuna madhara yoyote kwako is it a big deal??kuna haja ya kumcheka mpaka unakaa chini??kuna haja ya kumzimia taa??mbona wewe ndo unatafuta uchokozi!?tuache mambo ya ajabu jamani!!tuache kukariri!!mama mkwe ni sawa na mama yako na sioni ubaya wa alichokifanya hapo!!wewe ndo unaonekana una wivu..kama na wewe ulihitaji kumsubiri mumeo ungeunga tela hapo na sio kujidai unashangaa..nimenote kitu kimoja kwa wanawake wa kitanzania wengi wao wanapenda mambo ya "u~mama mkwe na u~wifi "bila kujua kuna kipindi na yeye atakua wifi au mama mkwe!!ishini na ndugu za mume vizuri kama ni ndugu zenu vile..sikatai kila mtu ana mapungufu yake ila hicho kisiwe ndo kigezo cha kuanza kuonana wabaya!tuchukuliane vizuri na naamini ukijua kuishi na watu vizuri hakuna kitakachokupa presha!!
ha haaaa, eti aunge tela....
mi naona kwa vile mama mkwe anamsubiri sebuleni, yeye akamsubiri chumbani, ngoma droo, lol!
 
Nivea usiombe kuolewa na mtoto wa mama.
ni bor kuitwa mgumba Bishanga unakufa kwa presha ukigeuka utasikia mama yangu ukigeuka hivi mama yangu any predicaments of life yeye keshakuacha kaenda kwa mama yake,mtoto wa mama ni noma nawaonea huruma sana wanaojikita humo
 
Last edited by a moderator:
Hata siku moja huwezi kusikia mwanaume hayupo comfortable na ndugu wa mwanamke bali mwanamke always ndio utamsikia akilalamika kuwa hayupo comfortable na ndugu wa mwanaume.
 
ni bor kuitwa mgumba Bishanga unakufa kwa presha ukigeuka utasikia mama yangu ukigeuka hivi mama yangu any predicaments of life yeye keshakuacha kaenda kwa mama yake,mtoto wa mama ni noma nawaonea huruma sana wanaojikita humo

Yaani inafikia pahala hawezi kununua kitu au kufanya kitu cha maendeleo mpaka akamuulize mama yake kwanza.....pambaf zao
 
Last edited by a moderator:
Hata siku moja huwezi kusikia mwanaume hayupo comfortable na ndugu wa mwanamke bali mwanamke always ndio utamsikia akilalamika kuwa hayupo comfortable na ndugu wa mwanaume.
ndugu wa mke huwa mara nyingi wanaadabu na kujiona hawana haki na ile familia na jeuri yao iliishia pale kwenye mahari kilichobaki ni kidogo sana kwao ila ndugu wa mume wanajifanya wana share 90% na familia ya ndugu yao bila mipaka.na wanaweza kufanya chochote kile anakwambia ni kwa kaka yangu /mdogo wangu au ni kwa mwanangu hapa.kiukweli ndugu wa mume baadhi ni tatizo kubwa!
 
ndugu wa mke huwa mara nyingi wanaadabu na kujiona hawana haki na ile familia na jeuri yao iliishia pale kwenye mahari kilichobaki ni kidogo sana kwao ila ndugu wa mume wanajifanya wana share 90% na familia ya ndugu yao bila mipaka.na wanaweza kufanya chochote kile anakwambia ni kwa kaka yangu /mdogo wangu au ni kwa mwanangu hapa.kiukweli ndugu wa mume baadhi ni tatizo kubwa!
That is perception my dia.
Unfortunately the wrong one.
 
ahahahahahahah Naona una jaribu kupima. hii inaitwa nani zaidi na jamaa ataki ujue matokeo lakini kwa uliyo yaandika kama nikweli soon utapata majibu nani zaidi.
 
Back
Top Bottom