celex
JF-Expert Member
- Dec 22, 2013
- 200
- 35
Mkuu nimekupigia like..tupo wachache sana wenye uwezo wa kuziangalia hizi dini, hasa hizi DiniKoloni, kwa mapana haya. waamini wengi wa dini wamefungiwa ndani ya box la dini na hawawezi kutoka humo na kufikiria nje ya box. akiambiwa bikira maria alizaa bila kupigwa "kitu na box" eti wanaamini hivo hivo! "jilipue" wanaamini hivo hivo, "paa bila mabawa" wanaamini hivo hivo. na kama kawaida katika hili sisi miafirika ndo tunang"ang"ania kijuha zaidi kuliko hata wadhungu na waarabu wenye dini zao.,,
pathetic useless brainwashed lots.
endeleeni kupiga kelele ila ndio washafukuzwa mkiona wamenyanyaswa andamaneni basi mchezee viboko FFU wanawashwa mikono.