Search results

  1. Midevu

    Kwanini vyuo vya Tanzania havina endowment funds?

    Endowment fund ni nini? Kwa kifupi, ni mfuko ambao fedha za za michango na misaada kwa chuo huwekwa na kuwekezwa sehemu mbali mbali ili zizalishe faida. Hiyo faida inatumika kutunza thamani ya huo mfuko na kufadhili shughuli za chuo kama tafiti na ufadhili wa masomo kwa wanafunzi wenye vipaji au...
  2. Midevu

    Fiber ISP kwa Dodoma

    Habari zenu wakuu? Naomba kufahamu ISP wa fiber internet kwa Dodoma. Nafahamu TTCL pekee ila ningependa kufahamu options nyingine zilizopo.
  3. Midevu

    Tumetoka mbali. Iangalie Tanzania ya mwaka1999

    Kwenye makala ya hawa jamaa tunaona Dar es salaam ya zama hizo, barabara ya Dar kwenda Kilwa, Reli ya Dar Kigoma, meli ya MV Mwongozo zama hizo na mengine mengi. Kweli tumetoka mbali. Hebu tuambie, unakumbuka nini cha enzi hizo? Ulikuwa wapi? Unadhani jambo gani limebadilika kwa kiasi kikubwa...
  4. Midevu

    Nani mabingwa wa huduma kwa wateja nchini?

    Nadhani sote tunafahamu kuwa suala la huduma kwa wateja kwa asilimia kubwa ya biashara, mashirika na ofisi za umma ni janga la taifa. Unaweza kufika kwenye biashara ya mtu na ukaishiwa kupata maumivu mpaka ukajiuliza kati ya wewe mteja na mwenye biashara nani mtafutaji. Watoa huduma wanatoa...
  5. Midevu

    Sio mbaya kuiga ubunifu huu wa majirani ili kupunguza tatizo la ajira

    Majirani zetu wa Kenya wameanzisha programu ya kuwafundisha na kuwawezesha vijana wao kupata skills na miundombinu ya kufanya kazi kwa kutumia mitandao. Kwenye program hiyo mamia ya vijana wamefundishwa utaalamu wa kucode, kuresearch, coprywriting na kazi nyingine kibao ambazo watu wengi wa...
  6. Midevu

    Hivi kuhama chama kwa mujibu wa sheria mpya ya vyama vya siasa ni nini?

    Moja kati ya vipengele vya sheria mpya ya vyama vya siasa ni kwamba mtu akihama chama ndani ya miaka miwili kabla ya uchaguzi basi hatoweza kugombea nafasi za uongozi. Sasa swali linakuja, kuhama chama kuna maana gani? Kwa nilivyoelewa, mtu kuhama chama kunamaanisha mwanachama wa Chama A...
  7. Midevu

    CV ya Balozi Wilson Masilingi

    Baada ya kuangalia kipindi cha Straight Talk Africa, ambapo Mh. Tundu Lissu na Balozi Wilson Masilingi walihojiwa, nilishangazwa na jinsi Balozi wetu huko Marekani alivyopwaya na kupata tabu kujielezea kwa Kimalkia na pia kushindwa kudhibiti jazba zake. Nilidhani pengine ni Kimalkia tu...
  8. Midevu

    Msaada DC-HSDPA

    Habari zenu wakuu! Naomba kufahamu kama simu yenye uwezo wa DC-HSDPA inaweza kufanya kazi kwa 3G networks za Tanzania?
  9. Midevu

    Msaada: Jina zuri la shule

    Habari! Naomba mnisaidie kupata jina zuri la shule. Shule ni ya sekondari kuanzia O'level mpaka A'level,dini zote (non-denominational),jinsia zote (co-ed),kutwa na bweni na ipo Bagamoyo mkoa wa Pwani.
Back
Top Bottom