Search results

  1. Innocent Ngaoh

    Nani kakuambia huwezi kutimiza malengo yako?

    Hivi unajua unaweza Kutimiza Malengo Yako kama utaamini unaweza kufanya hivyo na tofauti na hivyo itakuwa vigumu. Kushinda au kushindwa kunaanzia ndani ya fikra zako. Kabla ya kuona uhalisia wenyewe, Je, fikra zako ni za ushindi au kushindwa? Kila mtu unayemuona kwenye dunia hii ana masaa 24...
  2. Innocent Ngaoh

    Jinsi ya kutokuwa Mtumwa wa Mitandao ya Kijamii na Uishi Maisha ya Furaha

    Upweke ni tatizo kubwa hususani vijana, unashangaa upo online masaa 24 kwenye mitandao ya kijamii. Lakini... Huna muda wala ukaribu na mtu wa karibu yako pengine majirani zako, kwa kisingizio unaishi maisha yako hivyo wasikufate fuate, Kumbuka maisha bila watu hayana ladha. Mitandao ya...
  3. Innocent Ngaoh

    SoC02 Tawala Fikra zako Ili uweze kuboresha maisha yako

    Mwandishi mmoja aliwahi kusema “Hakuna sumu yenye kuidhuru akili yenye mawazo chanya na hakuna dawa yenye kutibu akili yenye mawazo hasi” bahati mbaya sana akili za watu wengi zimetawaliwa sana na mawazo hasi kuliko mawazo chanya pia nakubaliana na msemo wa Brian Tracy “Badili namna unavyofikiri...
  4. Innocent Ngaoh

    SoC02 Sababu saba (07) za kwanini unapaswa kukabiliana na msongo wa mawazo kwenye maisha yako

    Msongo wa mawazo ni hali ya kuwa na mawazo mengi kichwani kwa lugha rahisi ni mawazo ambayo yamerudhikana kwenye akili na kufanya uone unashindwa kuamua au kufanya maamuzi nini ufanye kutokana na changamoto, vikwazo, magumu na matatizo ambayo unapitia kwenye maisha ya kila siku. Inawezekana una...
  5. Innocent Ngaoh

    SoC02 Makosa Saba (07) yanayopelekea Kupoteza Fedha zako

    Emmanuel Olumide mwandishi wa vitabu kutoka Nigeria aliandika kitabu cha “50 common money mistakes” kitabu ambacho ameelezea makosa hamsini (50) ambayo watu wengi hufanya kwa kujua au kutojua na kupelekea kupoteza fedha zao, inawezekena kabisa unapata fedha lakini hujui wapi fedha zako...
  6. Innocent Ngaoh

    SoC02 Jinsi ya kuboresha uhusiano wako na watu wanaokuzunguka kwenye jamii yako

    Mtaji mkubwa wa mtu ni watu kwa maana hiyo unahitaji kuwa na ujuzi wa kuishi vizuri na watu “Interpersonal skill” pasipo kujali upo wapi na unafanya nini; lakini kupitia makala hii utaenda kuwa mtu mwenye kuishi vizuri na watu na kufanya watu kuvutiwa na uwepo wako kwenye jamii yako, na amini...
  7. Innocent Ngaoh

    Makala ya Kijana wa Kitanzania

    MAKALA YA KIJANA WA KITANZANIA Sehemu ya kwanza Mwandishi: Innocent Abisai Kijana ni nani? Kijana ni mtu ambaye umri wake unaanzia umri wa miaka 18 mpaka 45(Mujibu wa sera ya maendeleo ya vijana ya mwaka 1996 na kufanyiwa mabadiliko mwaka 2007) Taifa lolote asilimia zaidi 55%...
Back
Top Bottom